Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Vijana wetu wamevurugwa hawana muda wakujiuliza!Kwani wagonjwa hawaponi? Na wakipona hawapewi nafasi?
Ikiwa mheshimiwa Spika aliejiuzulu licha ya Uzee wake na kuonekana hajapona vizuri lakini bado yupo mjengoni na waheshimiwa wengine anatumikia taifa iweje ishindikane kwa kijana mdogo Mkude kurejea Simba kwa majukumu tofauti na yaawali!?