Simba kamwe hawawezi kumpa nafasi ya uongozi Mkude ambae wamejilidhisha kuwa ana utovu wa nidhamu na hana akili nzuri kiasi cha kufika umbali wa kumpeleka akapimwe akili.
JONAS MKUDE APIMWE AKILI KAMA AKIKUBALI GWARIDE LA HESHIMA LA SIMBA
Labda una kifaa masikioni kinakufanyia ukalimani, maana sijasikia mahali aliposema 'wamenifukuza'anasema wamenifukuza kama mchezaji aliyekuja jana, hebu msikilize kwa makini.
Punguza povu,kapimwe kwanza tuone kama yaliyomo yamo, relax!!Wewe huna marinda ndo maana unadhani na wengine hawana. Umeshawahiona wapi mchezaji asiekuwa na nidhamu akapewa unahonda wa timu, sembuse uongozi wa timu? Wewe huna marinda kabisa yamekuharibu hata akili. Simba inamkejeli Mkude kumwambia anaweza kurudi pale kama Matola na wengine huku wakiamini na kuutangazaia umma kuwa Mkunde hana nidhamu na akapimwe akili. Hivi ni mtu gani mwenye marinda anaweza kuamini kuwa Mkude anaweza kurudi Simba kama kiongozi?
Ndiyo maana nikasema yeye mwenyewe akapimwe marinda kwanzaUnaishutumu Simba kwa kutaka kumpima akili Mkude, na wakati huo huo unapendekeza apimwe akili. Nadhani kwa contradiction hii unastahili upimwe akili
umeniche kesha thana mubeba tofari.maalufu wa huu mtandqo wa jeiefu π€£π€£π€£Kwani wagonjwa hawaponi? Na wakipona hawapewi nafasi?
Atafute ajenda nyingineDogo kama unatarajia kuigombanisha Simba na Mkude, basi jua haiwezekani!
Haya tuambie wewe unashauri afanye nini?hakuna ubishi kuwa Mkude aliwafurahisha wanaSimba kwa miaka 13 mfululizo, aliwatumikia watanzaniaa pia kupitia timu ya Taifa; ni miongoni mwa watanzania muhimu sana. Lakini namna 'THANK YOU" yake ilivyotolewa kwake na Simba ni ushahidi tosha kuwa uongozi wa Simba unamuona Mkude kama mtu punguani anaestahili kwenda kupimwa akili yake kama walivyowahi kusema mbele ya mipaza sauti na camera kuujulisha umma.
Mkude aliachishwa Simba sawa na kama wachezaji wengine ambao hakuonyesha viwango tangu wasajiliwe Simba msimu uliopita tu, yaani alipewa hadhi na uzito sawa na akina Akpan, Kiyombo, Okwa, Okra, Gadiel, na wengine hadi pale baadhi ya wadau kulalamika kwa niaba yake na tetesi za kutakiwa na timu nyingine kubwa simba wakaibuka na mbwembwe na kejeli za kumpa mkude sifa ambazo hawakutaka kumpa hapo awali walipokuwa wanafyeka majina ya wachezaji wa kuondoka Simba.
Kwangu mm hivyo parade ya heshima wanayotaka kumpa Mkude ni ya kitapeli na yenye nia ovu kwa Mkude. Simba kamwe hawawezi kumpa nafasi ya uongozi Mkude ambae wamejilidhisha kuwa ana utovu wa nidhamu na hana akili nzuri kiasi cha kufika umbali wa kumpeleka akapimwe akili. Maana yake ni kuwa Mkude sio role model kwa wachezaji wa Simba kitabia, hivyo hawezi kuruhusiwa kurudi tena Simba tena kama kiongozi, hivyo kauli ya msemaji wa Simba, Ahmed Ally kuwa Mkude anaruhusiwa kurudi Simba ni uongo, hadaa na kejeli kwa Mkude.
Namshauri Mkude atupe macho na mikono yake juu kumshukuru Mungu kwa kile alichojaliwa kukipata hadi pale alipoambiwa thank you, kisha asonge mbele na mipango yake aliyonayo baada ya kuachwa Simba vinginevyo atajipunguzia heshina, sifa na uwaminifu huko aendako kama atakubali kwenda kuagwa na simba kinafiki ili kumharibia. Gwaride hilo ni la kumharibia sio kumkweza.
hakika huu ndio ushauri anaopaswa kuutilia manani, kama kweli simba wangekuwa na nia njema basi mechi yao ya mwisho ya ligi ndio ingetumika kumwambia kwaheri father lakini hawakufanya hivyo. Baada ya kusikia malalamiko ya mkuke kupitia wadau mbalimbali ndio wanajifanya kutaka kumuaga kwa heshima. Wamuache tu mtoto wa watu aende anakotakiwa kwa amani bila kumpakaza shombo la kinafiki la usimba. Mkude ataonekana taahila kama atarudi kwaajili ya kuagwa na simba.Umeandika fact sana ,kama Mkude anataka kuendelea na mpira basi aachane na hayo Simba wanataka kumfanyia maana itakuwa ni kumroga kama walivyomroga meddy kagere hadi anacheza hovyo
Ye aondoke akatafute malisho huku akiaminiwa na team itakayomsajili kuwa atakuwa mwaminifu kwao na sio kwa Simba labda kama anaenda uarabuni ila kama anabaki bongo aachane na uhuni waliobuni Simba baada ya kugundua kuwa wamemkosea heshima
Amshukuru Mungu kwa kila jambo asisubiri shukrani. Wanaotaka kumuaga walishamtag (label) kuwa ni mtovu wa nidhamu na punguani, halafu mtu anaeitwa Ahmed Ally akatumwa aseme kuwa ataagwa na atapewa nafasi ya kurejea Simba kama kiongozi. NI kiongozi gani mwenye CV ya utovu wa nidhamu na upungufu wa akili? maana yake wanazidi kumfanya punguani.Haya tuambie wewe unashauri afanye nini?
π³π³π³π³π³π³umeniche kesha thana mubeba tofari.maalufu wa huu mtandqo wa jeiefu π€£π€£π€£
Mbona unawashwa sana na Mkude na Simba ,utanufaika nini na hii fitna unayotengeneza? Uko kama changudoa aliyekopwa,wacha hizo.Haya ndiyo mawazo ya wanasimba wote, nani anaenda kumuaga Mkude kutoka rohoni? Tuache unafiki
Uko sahihi kwa lugha nyingine unasema suala la kuachana na mkude lilipaswa kuwa kwenye ratiba ambayo hata yeye mwenyewe angejua kama ilivyokuwa Yanga na Niyonzimahakika huu ndio ushauri anaopaswa kuutilia manani, kama kweli simba wangekuwa na nia njema basi mechi yao ya mwisho ya ligi ndio ingetumika kumwambia kwaheri father lakini hawakufanya hivyo. Baada ya kusikia malalamiko ya mkuke kupitia wadau mbalimbali ndio wanajifanya kutaka kumuaga kwa heshima. Wamuache tu mtoto wa watu aende anakotakiwa kwa amani bila kumpakaza shombo la kinafiki la usimba. Mkude ataonekana taahila kama atarudi kwaajili ya kuagwa na simba.
exactly!! yaani (haswaa!!). Wanadhani kuwa kila mtu ni mjinga. Swala la Mkude kuachwa halikupaswa kuwa siri kwake, club ilipaswa kirafiki kabisa kukaa nae hata miezi 3 nyuma kabla ya ligi kuwa hawana nia ya kuendelea nae kutokana na malengo ya timu ya msimu ujao, hivyo utaratibu wako wa kuondoka utakuwa hivi na vile na pengine akapewa na zawadi ambayo hawapewi wachezaji wengine ambao wanakuja leo na kuondoka leo ili jamaa ajisikikie kuwa haondoki kwa ubaya.Uko sahihi kwa lugha nyingine unasema suala la kuachana na mkude lilipaswa kuwa kwenye ratiba ambayo hata yeye mwenyewe angejua kama ilivyokuwa Yanga na Niyonzima
Mechi ya mwisho ingekuwa poa sana kama wanavyofanya wengine,badala yake wanataka kumuaga siku ambayo atakuwa tayari ni mtumishi wa team nyingine anyway kama ni Namungo sawa
Nendeni mkashitaki FIFA,mna kiherehere sana na mambo yasiyowahusu.exactly!! yaani (haswaa!!). Wanadhani kuwa kila mtu ni mjinga. Swala la Mkude kuachwa halikupaswa kuwa siri kwake, club ilipaswa kirafiki kabisa kukaa nae hata miezi 3 nyuma kabla ya ligi kuwa hawana nia ya kuendelea nae kutokana na malengo ya timu ya msimu ujao, hivyo utaratibu wako wa kuondoka utakuwa hivi na vile na pengine akapewa na zawadi ambayo hawapewi wachezaji wengine ambao wanakuja leo na kuondoka leo ili jamaa ajisikikie kuwa haondoki kwa ubaya.
Wagonjwa wa akili hawaponi, wanapata nafuu tu.Kwani wagonjwa hawaponi? Na wakipona hawapewi nafasi?