Jonas Mkude atozwa faini ya Sh. Mil 2, atakiwa kurejea kambini

Na hiyo faini analipa boss lady.
 
Aende yanga kama atapata pesa kama ya Simba, sasa hivi Simba wameshajiandaa kuishi bila Mkude ndio maana unaona wanasajili viungo wakabaji wengi
Au Azam. Ila Yanga ni muda tu watarudi ulingoni. Mimi ni Simba lakini. Shabiki Kindakindaki
 
Ujuaji wa Mkude umemponza kukosa milioni 250 walizopewa Simba baada ya kuwatoa platnum, pia amekosa kuitwa timu ya taifa inayoshiriki chan sasa akae ajitafakari kqma anafikiri alikuwa anaikomoa Simba alikuwa anajikomoa mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…