Nakubaliana na wewe 100000%Ni sahihi tusipende tu kusema mambo hasi ya mtu hata chanya yake tuyaseme kwa nguvu sana
Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile app
nimeonesha njia lakini kiofficial zaidi ndiyo inapendeza hata mchezaji mwenyewe anaona kumbe hata club ipo pamoja nami kwenye shida na rahaMkude ni mchezaji wa kulipwa anavyoishi sasa na kutimiza majukumu yake ndivyo inavyopasa kuwa. Hayuko pale kula mshahara huku akishindwa kutimiza wajibu wake na kuonesha utovu wa nidhamu...
we jamaa wewe kipindi kile tulivyokuwa tunamsifia Chama vipi alikuwa analipwa mshahara au alikuwa anacheza bure??angekuwa anafanya kazi bure angesifiwa sana.... lakini kama analipwa mshahara atasifiwa na mkewe na mademu anaowahonga.... UMEELEWA??
hata kazini mtu akifanyakazi vizur huwa anapongezwa kumpongeza mtu anapofanya vizur ni mojawapo ya motisha mzeeKwani anafanya hisani au?
Ni pro anafanya yanayotakiwa kufanywa.
Kwa kuwa huwa unachelewa kazini unalaumiwa na kutishiwa kufukuzwa.
Siku ukiwahi unatakiwa kusifiwa?
Afu mkude kapewa mchezaji bora december, unataka sifa gani?
Haki gani unaizungumzia hapa kakaHellow JF
Kipindi kile waliposema jamaa ana matatizo ya akili hadi wakamsafirisha kwenye matibabu alitangazwa kwenye media sana.
....
Ndio maana kapewa tuzo mchezaji bora wa mwezi, au mkuu ulikuwa unapewe nini?hata kazini mtu akifanyakazi vizur huwa anapongezwa kumpongeza mtu anapofanya vizur ni mojawapo ya motisha mzee
Yah kwa muungwana atakupongeza kwa kubadilika na kuwahi kazini ila kwa ambaye sio muungwana atapiga kimya ataona kuwa n jukumu lako