lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,643
- 5,335
Hellow JF
Kipindi kile waliposema jamaa ana matatizo ya akili hadi wakamsafirisha kwenye matibabu alitangazwa kwenye media sana.
Lakini kiukweli huyu jamaa Jonas Mkude tokea arudishwe kwenye kikosi amekuwa bora sana anaupiga mwingi pale kati lakini hawampi ile sifa anayostahili kwenye media shida ni nini hasa?
Kwa mtazamo wangu nilitegemea SSC wampe haki yake hadharani sio tu kwenye mabaya ndiyo wanatangaza kwa maana hiyo wanasubiri hadi afanye madudu ndiyo wayaseme mzani inabidi ubalance kote kote au hawaoni anayofanya pale kati ya dimba tokea arudi kikosini?
Kipindi kile waliposema jamaa ana matatizo ya akili hadi wakamsafirisha kwenye matibabu alitangazwa kwenye media sana.
Lakini kiukweli huyu jamaa Jonas Mkude tokea arudishwe kwenye kikosi amekuwa bora sana anaupiga mwingi pale kati lakini hawampi ile sifa anayostahili kwenye media shida ni nini hasa?
Kwa mtazamo wangu nilitegemea SSC wampe haki yake hadharani sio tu kwenye mabaya ndiyo wanatangaza kwa maana hiyo wanasubiri hadi afanye madudu ndiyo wayaseme mzani inabidi ubalance kote kote au hawaoni anayofanya pale kati ya dimba tokea arudi kikosini?