Jonas Mkude: Kinachowaangamiza Simba ni kiburi, Jifunzeni kutokana na haya

Jonas Mkude: Kinachowaangamiza Simba ni kiburi, Jifunzeni kutokana na haya

Yaani ndio hapo Mkuu..

Hawa wabongo wa mtaa wa Msimbazi pale wanapenda vya bure sanaa....

Wanataka cha uvunguni lakini cha ajabu hawataki kuinama....

Sasa ona mtu kama Messi hapo... [emoji23]
Bado Athumani Idd na Nurudin Bakari waliondoka kwa zengwe.... Hii team haijifunzi kabisa
 
Kama haina uwezo wa kumlipa siaondoke... Mbona wenzake waliondoka kwani dunia ilisimama?
Simba timu kubwa sio ya kuyumbishwa na wachezaji wawili au watatu... Wanaoenda waendee.
Unapotumia neno kuyumbishwa/si aondoke/dunia ilisimama......


Inaonyesha ni jinsi gani mnachukia pale mchezaji anapo dai malipo ya juu zaidi....

Kwa nini uchukie? Hii ndio kazi yake..
 
Refa wenu leo katolewa kwenye listi ya marefa pamoja na msaidizi wake kwa madudu waliofanya ya kuwabeba. TFF imethibitisha kwamba alifanya makosa mengi ya kitaalamu ili kuwabeba. Na bado mkashindwa kushinda licha ya Simba kucheza pungufu kwa da kika 63.
Umeongea nini sasa? Mbona haueleweki?

Huyo refa si wa kwanza Duniani Kufanya makosa...!!

Kama tukiamza kutafiti tutagundua kuwa ni refa wa elfu saba na mia mbili... na sio wa kwanza........ Tuna uwezo wa kuwafunga hata kama huyo asipo chezesha.....

Usisahau kuwa simba imefungwa mara nyingi sana na yanga... Ukilinganisha ushindi wenu dhidi ya yanga.
 
nyie nyumbu msiojua kuchambua mpira pigeni tu blah blah.mchezaji kariba ya mkude mkimpoteza andikeni maumivu.viungo wakabaji ni adimu kupatikana kote duniani.sasa endeleeni na unyimbu wenu kama hamjajuta.nyumbu nyie. eti kwakuwa mmemlea ndio mnataka mumlipe kiduchu, mbona messi ametunzwa na barca tangu utotoni na kila siku anawadai mamilioni ya usajili.si angecheza bure kama vipi.mnashindwa kujuakama mpira ni ajira naye ndo anategemea kuendesha maisha yake.
mnataka akimaliza soka aanze kuomba omba simba imsaidie pesa za matibabu na za kuendesha maisha yake.very stupid nyie na kaburu wenu
 
Mesi sio mkude na hao simba wamejarbu kumuongeza bt anajtaj kiasi kikubwa sana tofaut na bajet yao na yeye sio wakwanza kutoka huwez 4c kisicho wezekana
 
Inasemekana kwamba jitihada za Jonas Mkude kuongeza mkataba na klabu yake Simba SC upo kwenye utata mkubwa sana.

Inaonekana mkataba mpya wa Jonas Mkude unadai alipwe fedha zaidi ambazo amekuwa akilipwa kipindi aongezapo mkataba.

Hili suala la ongezeko la pesa za kusaini mkataba mpya limefanya viongozi wa simba sc kumuona kama mchezaji huyo ni msaliti na kuwa hana mapenzi na timu hiyo ambayo imemlea tangu ujana wake.

Hanspope alionekana kulalamika kwenye moja ya chombo cha Habari kuwa haiwezekani mchezaji waliomlea na kumkuza wao wenyewe atake kiasi kikubwa cha pesa ili aongeze mkataba.

"Kama ataki kucheza simba basi aende huko Yanga SC ambapo watamlipa hizo pesa... Mchezaji amejaa tamaa ya pesa sana" Alisema Hans Pope

.................................................................................

Simba ndio mnao haribu soka la Bongo. Mnasindwa kujua kuwa sasa ni wakati wa kubadilisha soka kutoka la Burudani kuwa la kulipwa..

Kumbukeni kuwa hawa vijana hawana kazi, wameamua kufanya soka kuwa ni kazi. Inapaswa kazi yao iheshimiwe kama kazi yako wewe inavyoheshimika....

Yule ni mchezaji wa kumtegemea sana kwenye kikosi chenu kwa sasa (zaidi ya kichuya) cha kushangaza mnamchukulia kama kapuku fulani hivi... Yaani iweje Mavugo alipwe pesa ndefu zaidi yake.. Ukizingatia yeye ndiyo mwenye kiwango zaidi ya huyo Mavugo.

Igeni waingereza pale. Ona salary ya Rooney! Kipindi anafanyiwa salary increment yeye ndiye alikuwa dependable player.

Huwa mnajifanya viburi sana. Eti ohh acha aende simba ni kubwa kuliko yeye. Hilo si sawa kabisa.

Inaonekana bado hamjajifunza mpaka leo.

1. Tangu Yondani asepe hamkuwahi pata mlinzi mwenye hadhi yake....

2. Tangu Tambwe asepe hamjawahi pata striker mwenye hadhi yake na ubora wake.

3. Tangu Messi "Singano" asepe hamjawahi pata winga wa kulia mwenye uwezo kama yeye (licha ya kuwa Kichuya anajaribu kuwasahaulisha....

4. Tangu Kessy asepe hamjafanikiwa kumpata mbadala wa huyu kijana. (Mnatudanganya kuwa Bokungu ameweza)

5. Tangu akina Barthez na Dida wasepe pale hamjawahi pata walinda milango wenye ubora sawa na wakudumu kwa kitambo kirefu....

Simba acheni kiburi cha kujiona kuwa mnauwezo wa kuwaacha wachezaji wenu muhimu na kujidai kuwa mna uwezo mzuri wa kuwa replace.
Hasa Pusi FC wanajua kuweka mgogoro kwenye timu yao. Mbaya zaidi wanajionyesha wazi kuweka upendeleo kwa kuwajali zaidi wageni kimaslahi, vichapo vikianza wanakimbilia kulaumu uhujumu kutoka kwa marefa na timu yetu pendwa ya Yanga. Wabadilike. Kila mtu atavuna alichopanda. Mishahara ya wachezaji kutofautiana ni kawaida lkn tofauti hiyo isilete kinyongo kwa wachezaji.
 
Back
Top Bottom