JONATHAN JOANCY ndiye Actor pekee wa kibongo anayeweza kutuvusha anga za kimataifa

JONATHAN JOANCY ndiye Actor pekee wa kibongo anayeweza kutuvusha anga za kimataifa

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Actor anayekuja kwa kasi sana katika filamu za mapigano Jonathan Joancy wengi wamemzoea kwa jina la agent Bravo ndiye mtu pekee anayetazamwa kiumakini mkubwa haswa kwa wapenzi wa filamu za mapigano.

Jamaa anatendea haki fani yake kwa sababu anafanya mambo makubwa sana ambayo tumezoa kuyaona kwa akina Boyka au Jet Lee huko.

Kwa alipofikia sasa sitashangaa akialikwa kwenda kucheza filamu nje ya Tanzania hususani Marekani.

agent_bavo-20181231-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemwangalia YouTube nimeiona baadhi ya matatizo kwenye filamu ya Agent Bravo, hawapo serious kuanzia yeye na waandaaji wa hiyo filamu. Laiti wakiwa serious watafika mbali zaidi ya hapo.

Kwanza star wa hiyo filamu, huyo jamaa nilichokiona ni mtaalamu wa mapigano pia action choreographer ni mzuri mno hilo nilipongeze hilo jambo..... Ila uigizaji ni tatizo nililoliona, wengi hawajapatendea haki kiasi cha kujenga uhalisia. Yaani inaonekana kabisa wanaigiza, hata body language kwa waigizaji hilo ni tatizo mno.

Haya yametokana na kuchukuliwa watu wenye ujuzi mdogo, au kutojiandaa kwa muda mrefu ili wawe tayari.... Nchi za wenzetu watu wanapewa script miezi kabla ya kushoot, muda wote huo wanafanya kazi ya kukariri script na baadhi ya matendo kama vile mwanafunzi anajiandaa kujibu mtihaniwa taifa.. Kupata kilicho bora umakini ni muhimu.

Nikija kwenye jopo la watu wasiyoigiza, kusema kweli mshika kamera kazingua hiyo movie. Hiki ndiyo kinaangusha filamu nyingi mno, yaani hata wachukua video za wasanii wa muziki wanamshinda. Huyo anapaswa atambue hii ni filamu, umakini ni mkubwa mno. Wahariri nao hawakuwa serious kabisa, haswa upande wa video editing. Rangi siyo poa hiyo,

Kiujumla idea ni nzuri, movie ni nzuri ila watu waliyohusika kuigiza au kuandaa baadhi wamezingua
 
Ushauri wako utafanyiwa kazi.
Nimemwangalia YouTube nimeiona baadhi ya matatizo kwenye filamu ya Agent Bravo, hawapo serious kuanzia yeye na waandaaji wa hiyo filamu. Laiti wakiwa serious watafika mbali zaidi ya hapo.

Kwanza star wa hiyo filamu, huyo jamaa nilichokiona ni mtaalamu wa mapigano pia action choreographer ni mzuri mno hilo nilipongeze hilo jambo..... Ila uigizaji ni tatizo nililoliona, wengi hawajapatendea haki kiasi cha kujenga uhalisia. Yaani inaonekana kabisa wanaigiza, hata body language kwa waigizaji hilo ni tatizo mno.

Haya yametokana na kuchukuliwa watu wenye ujuzi mdogo, au kutojiandaa kwa muda mrefu ili wawe tayari.... Nchi za wenzetu watu wanapewa script miezi kabla ya kushoot, muda wote huo wanafanya kazi ya kukariri script na baadhi ya matendo kama vile mwanafunzi anajiandaa kujibu mtihaniwa taifa.. Kupata kilicho bora umakini ni muhimu.

Nikija kwenye jopo la watu wasiyoigiza, kusema kweli mshika kamera kazingua hiyo movie. Hiki ndiyo kinaangusha filamu nyingi mno, yaani hata wachukua video za wasanii wa muziki wanamshinda. Huyo anapaswa atambue hii ni filamu, umakini ni mkubwa mno. Wahariri nao hawakuwa serious kabisa, haswa upande wa video editing. Rangi siyo poa hiyo,

Kiujumla idea ni nzuri, movie ni nzuri ila watu waliyohusika kuigiza au kuandaa baadhi wamezingua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana ndo kwanza namsikia hapa, em fanya kutaja hata muvi zake nkazitafute youtube
 
Back
Top Bottom