Jonathani Sowah bado anahitajika Yanga?

Jonathani Sowah bado anahitajika Yanga?

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Jonathano Sowah ni streika wa timu ya Madeama kutoka Ghana ambayo imecheza mechi mbili naa Yanga siku za hapa karibuni.

Baada ya mechi ya kwanza mashabiki wengi walimpigia chapuo kwamba ndie streika anaehitajika kuzipa pengo la Fiston Mayele. Binafsi nilisita kumpa sifa kwa sababu kwanza sijui takwimu zake pili sijamfatilia kwa muda mrefu, ndio ilikua mara yangu ya kwanza kumuona. Nikasema ngoja nimuone tena kwenye mechi ya marudiano.

Mechi ya marudiano timu yake ilipigwa goli 3-0 huku Bakar Mwanyeto na Dickson Job wakifanikiwa kumzibiti ipasavyo akusumbua kama ile mechi ya kwanza vile vile alikosa penati na kupewa red card.

Baada ya mechi hii ya marudiano sijasikia tena kauli za kuhitajika kuziba pengo la Mayele. Je huyu jamaa ndie mbadala wa Mayele anaehitajika yanga au zilikua kelele za ile ile syndrome yetu kupagawa na mchezaji akicheza vizuri pale tunapokutana na timu yake?
 
Jonathano Sowah ni streika wa timu ya Madeama kutoka Ghana ambayo imecheza mechi mbili naa Yanga siku za hapa karibuni.

Baada ya mechi ya kwanza mashabiki wengi walimpigia chapuo kwamba ndie streika anaehitajika kuzipa pengo la Fiston Mayele. Binafsi nilisita kumpa sifa kwa sababu kwanza sijui takwimu zake pili sijamfatilia kwa muda mrefu, ndio ilikua mara yangu ya kwanza kumuona. Nikasema ngoja nimuone tena kwenye mechi ya marudiano.

Mechi ya marudiano timu yake ilipigwa goli 3-0 huku Bakar Mwanyeto na Dickson Job wakifanikiwa kumzibiti ipasavyo akusumbua kama ile mechi ya kwanza vile vile alikosa penati na kupewa red card.

Baada ya mechi hii ya marudiano sijasikia tena kauli za kuhitajika kuziba pengo la Mayele. Je huyu jamaa ndie mbadala wa Mayele anaehitajika yanga au zilikua kelele za ile ile syndrome yetu kupagawa na mchezaji akicheza vizuri pale tunapokutana na timu yake?
Utawaweza wachambuzi wa Tanzania? Nchi hii mpaka Rais ni Mchambuzi wa soka.
 
Jonathano Sowah ni streika wa timu ya Madeama kutoka Ghana ambayo imecheza mechi mbili naa Yanga siku za hapa karibuni.

Baada ya mechi ya kwanza mashabiki wengi walimpigia chapuo kwamba ndie streika anaehitajika kuzipa pengo la Fiston Mayele. Binafsi nilisita kumpa sifa kwa sababu kwanza sijui takwimu zake pili sijamfatilia kwa muda mrefu, ndio ilikua mara yangu ya kwanza kumuona. Nikasema ngoja nimuone tena kwenye mechi ya marudiano.

Mechi ya marudiano timu yake ilipigwa goli 3-0 huku Bakar Mwanyeto na Dickson Job wakifanikiwa kumzibiti ipasavyo akusumbua kama ile mechi ya kwanza vile vile alikosa penati na kupewa red card.

Baada ya mechi hii ya marudiano sijasikia tena kauli za kuhitajika kuziba pengo la Mayele. Je huyu jamaa ndie mbadala wa Mayele anaehitajika yanga au zilikua kelele za ile ile syndrome yetu kupagawa na mchezaji akicheza vizuri pale tunapokutana na timu yake?
Ukiacha kwamba hana kiwango pia nidhamu yake ni zero
 
Deportivo la Utopolo walishamaliza jambo lao. Nia ilikuwa kumrubuni kuwa apunguze makali katika mechi ya marudiano kwa kumdanganya wana nia ya kumsajili kwenye dirisha dogo halafu pia kumtumia yeye kama njia ya kuwarubuni wenzake kwa njia ya maokoto. Baada ya jambo lao kufanikiwa wamemtupa jongoo na mti wake wamewaacha wacha mbuzi wanamjadili kama bado anafaa.
 
Deportivo la Utopolo walishamaliza jambo lao. Nia ilikuwa kumrubuni kuwa apunguze makali katika mechi ya marudiano maana wana nia ya kumsajili kwenye dirisha dogo halafu pia kumtumia yeye kama njia ya kuwarubuni wenzake kwa njia ya maokoto. Baada ya jambo lao kufanikiwa wamemtupa jongoo na mti wake wamewaacha wacha mbuzi wanamjadili kama bado anafaa.
Kati ya medeama na simba ipi ni timu bora?
 
Duu mimi ni utopolo lakini sii sawa kulinganisha timu ndogo kama medeama na simba. Nikama mbingu na ardhi

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Sometimes inategemea na ubora unauangalia kwenye angle ipi kama tukiwalinganisha kwa kigezo cha game za mwisho walizokutana na yanga basi madeama ni bora maana walijitahidi wakapigwa 3 tu tofauti na simba waliopigwa 5
 
Sowah ataleta hasara sana; wachane naye. Anaweza kupewa kadi nyekundu katikati ya mchezo na timu kulazimika kubaki na wachezaji kumi tu.
 
Back
Top Bottom