Jongwe!!!!!!!!!!

na huko ndani kuna kufuli na kibukta cha jeans lakini bado suruali haikai, na bado kazee kanang'ang'ania ikulu. Africa shida sana
 
Mi nadhani alikuwa anataka kuvua suruali lake ili awape laana hao wananchi wake
 
Kituko cha karne kwa Afrika na Dunia kwa ujumla!!
 
Pamoja na uzee wote sikumbuki kama kamewahi anguka mbele za watu
 
Kweli kazeeka ila akili zake hazija zeeka kama za JK, MAKAMBA, KINANA, KINGUNGE, MSEKWA, RIZWANI NA MA SALMA maana hawa wote askili zao zimezeeka mpaka hazina akili, huyu babu ana uzalendo na uchungu na nchi yake sio kama hawa wenzetu na mimi MAFISADI WAKUBWA HAO.
 
Pamoja na uzee wote sikumbuki kama kamewahi anguka mbele za watu

Afya hiyo nzuri ya hako kazee ni bahati mbaya kwa Zimbabwe - kwani kana nguvu ya kuendeleza udikteta wake.
 
Ila huyu babu angestaafu kwa sasa. Maana graph inarudi kwenye childhood sasa. Asisubiri mpaka akianza kuomba pipi on public events
 
Mkuu collections ya hizi picha ni superb kwa wanaomfahamu Mzee Bob na wanamfuatilia mambo yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…