Jongwe!!!!!!!!!!

Jongwe!!!!!!!!!!

Hofstede

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2007
Posts
3,577
Reaction score
1,109
Jongwe KWELI kazeeka

attachment.php



JONGWE.JPEG.jpg
 
na huko ndani kuna kufuli na kibukta cha jeans lakini bado suruali haikai, na bado kazee kanang'ang'ania ikulu. Africa shida sana
 
Mi nadhani alikuwa anataka kuvua suruali lake ili awape laana hao wananchi wake
 
Kituko cha karne kwa Afrika na Dunia kwa ujumla!!
 
Pamoja na uzee wote sikumbuki kama kamewahi anguka mbele za watu
 
Kweli kazeeka ila akili zake hazija zeeka kama za JK, MAKAMBA, KINANA, KINGUNGE, MSEKWA, RIZWANI NA MA SALMA maana hawa wote askili zao zimezeeka mpaka hazina akili, huyu babu ana uzalendo na uchungu na nchi yake sio kama hawa wenzetu na mimi MAFISADI WAKUBWA HAO.
 
Ila huyu babu angestaafu kwa sasa. Maana graph inarudi kwenye childhood sasa. Asisubiri mpaka akianza kuomba pipi on public events
 
Mkuu collections ya hizi picha ni superb kwa wanaomfahamu Mzee Bob na wanamfuatilia mambo yake
 
Back
Top Bottom