Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Vijana wa Chadema mnashindwa kuelewa. Ninyi mnasema chama chenu kinajiandaa kushika dola. Ni jambo jema. Wanaowakasokosoa wanawatengeneza ili kweli muonekane si kwa maneno tu, bali na kwa vitendo kuwa kweli ipo siku mtashika dola. Sasa, badala ya kuyafanyia kazi yale mnayoambiwa, ninyi mnajifananisha na John Momose Cheyo!!!!!!Jonh Momose Cheyo ni Mwenyekiti wa chama chake toka mwaka 1993 (miaka 26) lakini siyo CCM wala msajili mwenye shida naye.
Unadhani ni kwa nini?
View attachment 1285471