Jonh Momose Cheyo ni Mwenyekiti wa chama chake toka mwaka 1993 (miaka 26) lakini siyo CCM wala msajili mwenye shida naye

Cheyo ni mtiifu, kuweni Watiifu nanyi kama hamtaki bugdha.
 
Chadema bana yaani wakifika kwa mbowe lazima watafutize sababu
ccm bana yaani wakifika kwa mbowe lazima watafutize sababu, haya kesho anawafuata uwanjani sijui mtakimbia, tunawachora tu ...............
 
Apigiwe kura akishinda aendelee
Nyinyi hata hamjui mnataka nini ivi si kila siku mnalalamika kuwa kina kagame, ali bongo, Museveni na nkurunzinza hawataki kutoka madarakani? Kwani na wao si wanapigiwa kula na kushida sasa kipi kinawalalamisha? Kwa mantiki hio msitegemee kuchukua dola kwa Mwenyekiti huyo anaejinasibu kuwa ni mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo ile hali hataki kuachia uongozi na wala hana succession plan yoyote amegeuza chama mali yake sasa tukimpa ikulu si atakuwa kama kina Museveni
 
Kwani demokrasia ni nini?
Ni watu kuamua nani awe kiongozi wao au ni kiongozi kuamua kuacha uongozi?

Kama kura zitapigwa,na wapiga kura wakampa mtu wanaye mwamini tatizo liko wapi?

Dictatorship maana yake nini?
 
Mbona CCM huwa hatumchagui mwenyekiti na wala hakuna problem,Mimi nadhani Chadema wabaki na Mambo yao (kwa mujibu wa makubaliano yao) na wengine wabaki na utaratibu wao,over....
 
Mmeulizwa kwanini CCM wala msajili mkuu hawa-deal na huyo mtu lakini wapo na Mbowe??
 
Yaani Mbowe ale ruzuku ya serikali hivi hivi mpaka atakapochoka mwenyewe?
 
Povu hizi kwanini usizilielekeze huko ugambani maanake mko madarakani tangu Uhuru
 
Kwahiyo na wewe msajili wa CCM unachagua kupambana na vyama ambavyo ni tishio kwa serikali lakini hivi vya kina cheo na tlp kwasababu ni CCM B hamna time navyo?
 
Uchaguzi wa ndani ni moja kati ya masharti ya chama cha siasa kupewa usajili au kuwa chini ya msajili wa vyama
Labda katiba yao haina kipengele cha uchaguzi
 
Ndugu, jamaa zako hawana mpango wa kushika dola
Wangekuwa serious wasingetaka kujilinganisha na na UDP.
Hoja dhaifu sana hii.
Ni sawa na kuwa na watoto wawili mmoja mkamilifu(CDM) na mwingine mlemavu(UDP)
Ukiona yule mkamilifu anataka akilinganishwa na mlemavu na analalamika mbona mwenzangu haendi shamba anakaa nyumbani tuu ujue hapo kuna shida.
Aibu..
Ujue hata CCM haipaswi kujilinganisha na CDM kwenye baadhi ya mambo.
 
Nyie MaCCM tuachie Mbowe wetu. Tuna imani naye na ndio sababu tunamchagua. Kwa taarifa yenu huwa tunafurahi saaaana tukiona mnaweweseka na Mbowe - uthibitisho kwamba ni tishio kwenu. Ndio sababu wenyeviti wengine wa "vyama vya upinzani" wasio tishio kama John Momose Cheyo, Agustino Mrema, n.k waliokalia viti vyao kwa muda mrefu kuliko Mbowe si Msajili au MaCCM wenye shida navyo. Aibu kwao ambao kika siku wakiamka Mbowe Mbowe!!
Q
Kwa hiyo chadema ni mali ya Mbowe?
[/QUOT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…