joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Maudhui yake bado yale yale ya Mkasi,ila tofauti yake kile kipindi wanazungumza story nyingi za zamani huku current issues wakizingumzia kidogo.Kipindi cha Salama Jabir kinaitwa SALAMA NA.
Yaani Salama na Guest anayekuwa nae siku hiyo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hebu assume Jonijo anamuhoji Platnumz huku anasafisha fridge za plutnumz pale Madale
Jojonijo aisee kapotea Sana mpaka nimeanza kumsahau.Wengi wa wapenda vipindi vya Tv na Redio hususani Burudani jina hili sio geni, Baada ya Kutoka Times fm alisajiliwa Wasafi Media na baadae kutimkia E fm/E-tv
Jamaa hajafanya sana program za redioni kama upande wa Tv, Yes wengi walimfahamu kwenye "Now you Know" kupitia You tube account yake
Alipofika Efm alifanya kipindi cha HOMA akichukua nafasi ya Meneja Sebbo.
Sasa Jonijo anakuja na Kipindi kinaitwa GEREZANI hii imejidhihirisha kwenye teaser aliyoweka kwenye ukurasa wake wa Instagram, akizungumza na msanii HEMED PHD, huku kavalia nguo zinazofanana na za Mfungwa ambae yuko chini ya Ulinzi ila katembelewa na mgeni, Good Idea.
Idea ya mazingira haiendani na kipindi chake cha awali THE BAR TENDER. Je, uhalisia wa maswali utaendana na kipindi hiko cha awali? tease iko mtandaoni tayari siku na saa
Lets wait and see, Creativity is the Key, kama ulimmisi kwa vipimdi vya namna hio sasa anarejea,
Tchaooooo.. its Mayowela
Hio Idea si iko kwa Wema Sepetu, Cook with Wema.Aje na idea ya kuwafuata wasanii majumbani kwao,
Anafika anawahoji wasanii husika wakiwa makwao huku anawasaidia kazi ndogo ndogo(kama kufagia ndani, Kusafisha Garden, kuosha vyombo n.k)
Hebu assume Jonijo anamuhoji Platnumz huku anasafisha fridge za plutnumz pale Madale
Unajua maana ya content?Ndio maana ni kasema tofauti location saloon utanyolewa,Bar utapewa vinywaji na kucheza game kama pool,lkn content ile ile una mwita msanii una muhoji na kupiga nae story.
Sawa na mimi ni andae kipindi Hotelini,wageni watakula na kunywa lkn content ni ile ile ya kuwahoji na kupiga nao story.
Yaani Sheikh ni yule yule tofauti kanzu.
Content is "something that is to be expressed through some medium, as speech, writing or any of various arts.Unajua maana ya content..?
Great ideas without executions is WORTHLESS.Mayowela tulia wakali wa hizi kazi tukupe mambo yanavyokua, hakuna idea mpya now zote ni marudio tu,kama haipo bongo basi ipo kwa wenzetu cha muhimu ni kuboresha tu.
Nakutana na ideas kibao kali lakini ukizisoma na kuzichanganua unajua kuwa ni idea ambayo ipo ila imeboreshwa kuficha mapungufu ya ambayo ipo.
Hata hiyo gerezani unayosema japokuwa sijapata nafasi ya kutazama,ni idea nyepesi sana kwa sisi tunaokutana na ideas nyingi,ila kwa mtu asiye wa entertainment na mambo ya media yeye yupo kama mshabiki tu lazima aone ni kitu kikali na kipya sana.
Kwa sasa ni hayo tu.
Nakuelewa masta, nachangamsha Genge, Vitu vingi vimeishafanyika, hata BIG SUNDAY LIVE, ni marudio tu, but kwa kwetu huku na kama hufatilii mambo tunaona ni kitu kipya
Kudos
Great ideas without executions is WORTHLESS.
Ndipo hapo sasa maana worthless inapofanya kazi yake,yaani so long haujatekeleza idea hio then inabaki kua story tu mzee baba.Utekelezaji sio jambo rahisi kama unavyowaza,ingekuwa rahisi kiasi icho hata ile biashara ya mtaji wa M100 unaouwaza kichwani mwako ungekuwa ulishaanza kuutekeleza.
Hio BIG SUNDAY LIVE,Kenya kitambo tu wanafanya hio mambo kwny channel zao za KTN/CITIZEN.Ukitazama BIG SUNDAY LIVE, utagundua ni setup ambayo imetumika na namna ambavyo wanabadilisha muonekano wa stage,lakini vitu vinavyofanyika its all about entertainment ambayo ipo kila siku.
Note: now inabidi kuwa na uwekezaji na kuangaisha kichwa kidogo hili upate watazamaji,sio kama zamani unasimama na msanii hata barabarani unapiga nae story watu wanatazama kwa sasa watu wanataka macho yao kuona muonekano mpya.
Aje na idea ya kuwafuata wasanii majumbani kwao,
Anafika anawahoji wasanii husika wakiwa makwao huku anawasaidia kazi ndogo ndogo(kama kufagia ndani, Kusafisha Garden, kuosha vyombo n.k)
Hebu assume Jonijo anamuhoji Platnumz huku anasafisha fridge za plutnumz pale Madale
Jonijo ameyumba kiasi fulani sasa hiv asikiki kama mwanzo sijui ni kwanini?Kuwndika ni rahisi lakini kutekeleza sasa! Watu mnajidai mna ideal mpya lakini hamna mlichofanya!
Jonijo ana jitahidi sana
Wasanii wabongo hawa hawa wafuatwe makwao watakubali!?? Wakati wengine wanaishi katika ma-gheto kama lile la billnasi alijichukua video clip akiwa na nandyAje na idea ya kuwafuata wasanii majumbani kwao,
Anafika anawahoji wasanii husika wakiwa makwao huku anawasaidia kazi ndogo ndogo(kama kufagia ndani, Kusafisha Garden, kuosha vyombo n.k)
Hebu assume Jonijo anamuhoji Platnumz huku anasafisha fridge za plutnumz pale Madale