Great ideas without executions is WORTHLESS.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ndio maana ni kasema tofauti location saloon utanyolewa,Bar utapewa vinywaji na kucheza game kama pool,lkn content ile ile una mwita msanii una muhoji na kupiga nae story.
Sawa na mimi ni andae kipindi Hotelini,wageni watakula na kunywa lkn content ni ile ile ya kuwahoji na kupiga nao story.
Yaani Sheikh ni yule yule tofauti kanzu.
🤣🤣🤣🤣🤣Mi nataka nije na idea ya chooni. Yaani namhoji mtu huku anakunya.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wasanii wabongo hawa hawa wafuatwe makwao watakubali!?? Wakati wengine wanaishi katika ma-gheto kama lile la billnasi alijichukua video clip akiwa na nandy
Kipindi yupo wasafi alikuwa anatrend Sana kwenye social media tofauti na sasa Kama binafsi naona jonijo na bdozen walikosea kuama kwenda efm wamerudi nyuma badala ya kwenda mbele.Zamani ulikuwa unatumia njia gani kumsikia?
ni vema kuheshimu maamuzi ya mtu, lakini kuna wakati ukitanguliza maslahi mbele utajikuta unaua career yako, J e Lil Ommy aliekuwa ana trend Times fm ndio Lil Ommy huyu ambae yuko Wasafi kwa sasa..?, je pick yake bado iko pale au imeshuka..?Kipindi yupo wasafi alikuwa anatrend Sana kwenye social media tofauti na sasa Kama binafsi naona jonijo na bdozen walikosea kuama kwenda efm wamerudi nyuma badala ya kwenda mbele.
Akili zako unazijua mwenyewe...Mi nataka nije na idea ya chooni. Yaani namhoji mtu huku anakunya.
Lily ommy anafanya vizuri tofauti na jonijo na bdozen we siumeona kaisimamisha vizuri big Sunday live angalia pia kampeni aliyoleta ya shinda na alteza ilivyofanya vizuri pale Wasafi.Narudia Tena bdozen na jonijo wamepotea njia thamani zao zimeshuka walikurupuka kuama.ni vema kuheshimu maamuzi ya mtu, lakini kuna wakati ukitanguliza maslahi mbele utajikuta unaua career yako, J e Lil Ommy aliekuwa ana trend Times fm ndio Lil Ommy huyu ambae yuko Wasafi kwa sasa..?, je pick yake bado iko pale au imeshuka..?
TUWAPE MUDA
Hata hii ya kuwafata nyumban ilishafanyika kweny magazetiAje na idea ya kuwafuata wasanii majumbani kwao.
Anafika anawahoji wasanii husika wakiwa makwao huku anawasaidia kazi ndogo ndogo(kama kufagia ndani, Kusafisha Garden, kuosha vyombo n.k)
Hebu assume Jonijo anamuhoji Platnumz huku anasafisha fridge za Plutnumz pale Madale
Bonge la ideaWengi wa wapenda vipindi vya Tv na Redio hususani Burudani jina hili sio geni, Baada ya Kutoka Times fm alisajiliwa Wasafi Media na baadae kutimkia E FM/E-TV.
Jamaa hajafanya sana program za redioni kama upande wa TV. Yes, wengi walimfahamu kwenye "Now you Know" kupitia YouTube account yake.
Alipofika EFM alifanya kipindi cha HOMA akichukua nafasi ya Meneja Sebbo. Sasa Jonijo anakuja na Kipindi kinaitwa GEREZANI. Hii imejidhihirisha kwenye teaser aliyoweka kwenye ukurasa wake wa Instagram, akizungumza na msanii HEMED PHD, huku kavalia nguo zinazofanana na za Mfungwa ambae yuko chini ya Ulinzi ila katembelewa na mgeni, Good Idea!
Idea ya mazingira haiendani na kipindi chake cha awali THE BAR TENDER. Je, uhalisia wa maswali utaendana na kipindi hiko cha awali? Teaser iko mtandaoni tayari siku na saa.
Lets wait and see, Creativity is the Key. Kama ulimmisi kwa vipindi vya namna hio sasa anarejea.
Tchaooooo. its Mayowela