Jonijoo mfalme mpya wa radio/TV shows kwa kizazi cha sasa!

Jonijoo mfalme mpya wa radio/TV shows kwa kizazi cha sasa!

music mimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
485
Reaction score
876
Mtangazaji mpya wa WasafiTv anaeitwa Jonijoo, anaenda kuishangaza dunia.

Ulimwengu unaenda kuona kipaji cha hali ya juu. Swagga, technics, big brain na ubunifu wa hali ya juu kutoka kwa Jonijoo ndio vinaenda kumpa ufalme wa media.

Wasio mfahamu just wait and see muda utazungumza zaidi.

CEO wa kizazi jeuri.. Wahuni sio watu wazuri.. Tupo live na maisha.. Kaa kitaalam! 16 bars
Inst-image-21.jpg
 
Mtangazaji mpya wa WasafiTv anaeitwa Jonijoo, anaenda kuishangaza dunia.

Ulimwengu unaenda kuona kipaji cha hali ya juu. Swagga, technics, big brain na ubunifu wa hali ya juu kutoka kwa Jonijoo ndio vinaenda kumpa ufalme wa media.

Wasio mfahamu just wait and see muda utazungumza zaidi.

CEO wa kizazi jeuri.. Wahuni sio watu wazuri.. Tupo live na maisha.. Kaa kitaalam! 16 bars View attachment 866970
Huyu jamaa namkubali Sana huwa napenda utube chanel yake, hapo wasafi imetisha kwa huyu jamaa.
 
Mtangazaji mpya wa WasafiTv anaeitwa Jonijoo, anaenda kuishangaza dunia.

Ulimwengu unaenda kuona kipaji cha hali ya juu. Swagga, technics, big brain na ubunifu wa hali ya juu kutoka kwa Jonijoo ndio vinaenda kumpa ufalme wa media.

Wasio mfahamu just wait and see muda utazungumza zaidi.

CEO wa kizazi jeuri.. Wahuni sio watu wazuri.. Tupo live na maisha.. Kaa kitaalam! 16 bars View attachment 866970
Jamaa yuko WCB saiv
 
Nothing new... swaggz na kila kitu ni wale wale wa clouds...
Akheri lil ommy ni swagga zile zile ila ana content na anajua historia ya muziki plus anajitahidi kuhoji watu. Yaani kuna improvement flani nzuri anayo.

Ila atakuwa mkubwa maana atafanya kazi katika brand kubwa..si kwamba hana kipaji ila ni wa kawaida na ukitoa interview zake zilizoegemea SEX SALE... nothing about him is extra ordinary
 
Yuko vizuri ila huo udevuu mhhhh labda ndo identity yake
 
mhuni haogopi kufa ila anaofia kutangulia maana atawamiss wanae babako na usiseme maisha ni safari wakati umedandia treni #wahuni_sio_watu_wazuri
 
Nothing new... swaggz na kila kitu ni wale wale wa clouds...
Akheri lil ommy ni swagga zile zile ila ana content na anajua historia ya muziki plus anajitahidi kuhoji watu. Yaani kuna improvement flani nzuri anayo.

Ila atakuwa mkubwa maana atafanya kazi katika brand kubwa..si kwamba hana kipaji ila ni wa kawaida na ukitoa interview zake zilizoegemea SEX SALE... nothing about him is extra ordinary
jonijoo yupo vizuri mhuni yule
 
Akheri lil ommy ni swagga zile zile ila ana content na anajua historia ya muziki plus anajitahidi kuhoji watu. Yaani kuna improvement flani nzuri anayo.

Lil Ommy kwenye interview zake nilishawahi kupata mchepuko, namwelewa sana. Lil Ommy anafanya research ya mtu atakayemhoji, anafatilia details mbalimbali kupata lead ya maswali. Ni namba moja kwa entertainment interviews Bongo.

Ila huyu dogo pia yuko vizuri kwa wanaofatilia kipindi chake cha Now You Know, sema watu wa kuwahoji walikuwa wachache. Nasubiri kuona anafanyaje zaidi.
 
Back
Top Bottom