Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
Hapo ni watu wamekichoka CCM au viongozi walioko madarakani?
Maana kaa ukijua pia ndani ya CCM kuna viongozi safi sana ambao nao wanaitaji mabadiliko sana esp Nyamagana na Arusha pia, Ila kumekuwa na
Mkuu hapo kwenye red
1-huwezi kuwa ndani ya basi linalopinduka ukajifanya eti kuliokoa lisipinduke, lazima litapinduka na kama ni mauti, itakukuta
2-huwezi kutumbukia au kuwa kwenye shimo (choo) la mavi usipakae mavi.
Hao viongozi unaodai ni wasafi ni wanafiki na ndio wabaya, nchi hii inahitaji roho ya kishujaa ili ibadilike. Hao nao ni mafisadi tu, kuna vimirija vyao huko. Hawafai waondoke katika utawala pia au wahame ccm. Period!!!