Mkuu naweza kupata wapi hiki kitabu? Hivi ni "Mikononi mwa Nunda au Nunda Mla watu? Nakumbuka pia nilisoma nikiwa darasa la 5
Mpaka kufikia darasa la tano nilikua nishasoma vitabu vyote vya E. Musiba (Willy Gamba),Ben R. Mtobwa (Joram Kiango), Mashimo ya mfalme Suleiman na Kile kingine cha Allan Quarterman alimo Umsolopagazi na vingine vingi.
Nimeanza mpango wa kuvikusanya na sasa nimefanikiwa kuvipata vya Allan Quarterman na Ben Mtobwa, Alfu lela ulela, vitabu vya watunzi wa Kizanzibari, pamoja na vingine vingi.
Kuna mtu anamkumbuka mpelelezi Ray Sibanda katika "Kamlete akibisha mlipue"mtunzi nimemsahau
Mkuu Hikma katika 'Kamlete Akibisha Mlipue' adui kubwa alijilipua mwenyewe akiwa amejifungia vile?
Ulikuwa unajisikiaje unapomuona mwenzako ameshika KUFA NA KUPONA, NJAMA, KIKOSI CHA KISASI, KIKOMO ama SALAMU TOKA KUZIMU, TUTARUDI NA ROHO ZETU?, LAZIMA UFE JORAM, MIKONONI MWA NUNDA, NAJISIKIA KUUA TENA!!!HEBU KUMBUKA ULIPOKUWA UNASUBURI ZAMU YAKO NA WEWE UAZIME!!!
Nimeshangazwa kujua kwamba karibia kila mwandishi bora wa nyakati hizi amefariki. Nataka tuwakumbuke na kuwaombea. Lakini ni lazima nimpongeze mwandishi bora wa nyakati hizi HUSSEIN TUWA. kwa kweli ni mkali sana hebu kwa wale wapenzi wa riwaya tutafute riwaya zake MKIMBIZI, UTATA WA 9/12 NA MDUNGUAJU
Kamlete Akibisha Mlipue ni kazi ya Hammie RajabMkuu Hikma katika 'Kamlete Akibisha Mlipue' adui kubwa alijilipua mwenyewe akiwa amejifungia vile?
Mpaka kufikia darasa la tano nilikua nishasoma vitabu vyote vya E. Musiba (Willy Gamba),Ben R. Mtobwa (Joram Kiango), Mashimo ya mfalme Suleiman na Kile kingine cha Allan Quarterman alimo Umsolopagazi na vingine vingi.
Nimeanza mpango wa kuvikusanya na sasa nimefanikiwa kuvipata vya Allan Quarterman na Ben Mtobwa, Alfu lela ulela, vitabu vya watunzi wa Kizanzibari, pamoja na vingine vingi.
Kuna mtu anamkumbuka mpelelezi Ray Sibanda katika "Kamlete akibisha mlipue"mtunzi nimemsahau
A.E musiba hadi unasidimuka
Nadhani bado nakumbuka kidogo............
Kufa na Kupona-Wizi wa Karatasi za Siri
Njama-Harakati za Ukombozi Kusini mwa Afrika
Kikosi Cha Kisasi-Mtanange ulikuwa pale DRC Kongo
Kikomo-Wizi wa Almas Mwadui
Hujuma-
I stand to be corrected......Hivi Mkuu wapi ntapati vitabu hivi?
safi sana maana watu wanasoma vitabu na hawaelewiNinavyofahamu mimi willy Gamba hakuwa mwandishi wa vitabu vya hadithi isipokuwa ni jina lililotumiwa na mwandishi wa vitabu maarufu wakati huo ambaye sasa ni mfanyabiashara maarufu vilevile anayeitwa A.MUSIBA. Nakumbuka KITABU CHAKE CHENYE HADITHI YA KUSISIMUA YA KIPELELEZI KATIKA JIJILA KINSHASA ( KUFA NA KUPONA )cha A.MUSIBA aliyetumia jina la Wily Gamba Kama Muhusika mkuu.
Tupiauzi kabwe makanika jamanikitabu kiliitwa unyama wa mafia,kabwe makanika alikuwa ni character