walikuwepo ma staring wazuri wengi... Edie Kakhi... Kwenye unyama wa mafia! Na majambazi kama Dr. MOTOWN.. AKA mzungu katili, KABWE MAKANIKA... Aka Jitu kumbuka... Akina jarufu Ram na mzee Helgal ajenti wa MAFIA tanzania... PIA KILIKUWEPO KITABU mbio za jasusi... Nakikumbuka saaaana na staring alikuwa mkali saana! Baadae tukasoma MASHIMO YA MFALME SULEIMAN... tukamuona UMBOPA.. aliefundishwa vita na UMSOLOPOGAAS! NA PIA tukasoma HADITHI YA ALLAN QUATERMAIN.. NIKAMUONA umsolopogaas na shoka lake INKSOKAZ! HAKIKA hivi vitabu vya alan quatermain niliamini ni vya kweli. Na mtunzi aliitwa H. RIDER. HAGARD. ni mwingereza maarufu sana wa karne ya 20!