poleni sana nakubaliana kabisa na kennedy, jaribuni kuongea na waziri wenu wa elimu aongee na huyo Mhadhiri Ili Arekod Upya Kupitia Karatas Zenu Alizonazo. Watanzania Tuache Tabia Ya Kudharau Vyuo, Chuo Kikishatambuliwa Na TCU huwez kukiita cha mchangani. na vyuo hvi tunavyovidharau utakuta ndo vyuo vinavyofanya vizuri kitaaluma kuliko hata hvyo unavyoviona ni bora. miaka ya nyuma shule bnafsi(private schools) zilikuwa zinadharauliwa sana hebu angalia leo hii, ndzo zinazoongoza kitaaluma. ikiwa Ndo hvyo je waliosoma vyuo kama vile HAVARD Wasemeje??