Kayabwe
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 385
- 86
Habari zilizopo katika chuo hiki baada ya kutoka kwenye pirika za Noel na new year ni lecturer wa sociology mr.Edmound kudai ameibiwa laptop hivyo turidie test.Sasa cha kijiuliza ni je na scripts zimeibwa make hata hizo alikuwa hajazigawa kwa wahusika.Wanachuo tuwe na msimamo.Nawasilisha!!!