Jordan Rugimbana alimkosea nini Hayati Magufuli?

Jordan Rugimbana alimkosea nini Hayati Magufuli?

Sidhani kama walitegemea kama angefika hospitali akiwa hai. Hauwezi kufanya mission kama hiyo alafu watu wengi kiasi hicho wawe involved.

Kama kuna maelezo RC alipata itakuwa ni baada ya mambo kwenda mrama na jamaa kufikishwa hospitalini.

Siku ile sidhani kama kuna mtu yeyote angemsikiliza jiwe, wabunge wa CCM walilia machozi hadharani, yaani ni kama roho wa Mungu alishuka pale Dom, kila mtu alipambana kuokoa uhai ya Lissu.

Kama haijapangwa haijapangwa tu, hata ufanye nini.
Mission yake ya kuliwa na funza ilienda vizuri
 
Tarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma

October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.

Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.

Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.

Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.

Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.

Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.

Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
Mbona list ya watumbuliwa tangu Enzi za Mwalimu ni wengi sana? Kwanini huyu ndio awe gumzo?
 
Tarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma

October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.

Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.

Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.

Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.

Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.

Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.

Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
Ndugu wawili baba yao akiwa gereza la Luanda Mbeya 60's wakaja Dar.
 
Jikono Jandama alikuwa katili sana.
Lile dude ilikuwa shida ya dunia tukio la Lissu lilinifanya nijue kikamilifu kuwa Mungu ana nguvu kuliko shetani kwani kila mtu bila kujali dini wala rangi aliomba kwa lugha yake ili Lissu apone ukimuondoa KAYAFA a.k.a Jiwe.
 
Una uhakika na unachoandika?

..nina uhakika 100%.

..Doe Mwanyika alikuwa Barrick/Acacia.

..Johnson Mwanyika alitumikia serikalini muda mrefu nafasi ya mwisho alikuwa Mwanasheria Mkuu.

..na hawahusiani kindugu.
 
Back
Top Bottom