Jordan: Watatu wafariki kwa kudondokewa na drone iliyodunguliwa

Jordan: Watatu wafariki kwa kudondokewa na drone iliyodunguliwa

Jordan: Watatu wafariki kwa kudondokewa na drone iliyodunguliwa

Shirika la usalama nchini Jordan "Royal intelligence" limeripoti kwamba Watu Watatu wamefariki dunia kwa kulipukiwa na suicide drone ya iran waliyoidungua wakati wakijaribu kuiokoa Israel dhidi ya mashambulizi ya Iran usiku wa Jana.

Source: royal intelligence-twitter (x)
Hasara ya kuwa msaliti na kibaraka,mlengwa hakuna aliyeuwawa ila kiherehere

View: https://twitter.com/GlobeEyeNews/status/1779480662011195708?t=jQznbfIXeXQmhD6pHLgDYA&s=19
 
Pole sana ndugu yangu, na siyo wajinga tu na ni wapumbavu pia...waarabu ukitafakari vizuri hawajawahi kujitegemea kikamilifu kila kitu walicho nacho lazima kitegemee nguvu ya wazungu. Hata dini yao pendwa kuna vitu wamekopi na wanalazimisha rejea kutoka ktk dini ya wazungu!

Tatizo ndipo lilipoanzia.
Uislamu ulianzishwa na Vatican katika azimio la Nikea miaka 300 baada ya kuanzisha Roman Catholic.

Hizi zote ni project za hawa fallen angels.
 
Hasara ya kuwa msaliti na kibaraka,mlengwa hakuna aliyeuwawa ila kiherehere

View: https://twitter.com/GlobeEyeNews/status/1779480662011195708?t=jQznbfIXeXQmhD6pHLgDYA&s=19

Vijana mnashida sana, huo unaouita usaliti ni upo? Kwani kuna Makubaliano yoyote kati ya Iran na Jordan? Au hujui kuwa Israel ina faida zaidi kwa Jordan kuliko Israel? Au hujui kuwa HAMAS ambao wapo supported na Iran wamekuwa wakishirikiana na kundi la Muslim Brotherhood la nchini Jordan kuandaa matukio kadhaa ya kuiyumbisha serikali? Hata hilo kundi la Muslim Brotherhood pia lipo supported na Iran?.
Mnakikbilia ku comment hata vitu msivyovijua undani wake. Do your homework.
 
Mkiambiwa mtaje targets zilizokuwa hitted mnalalamika kuwa mnaonewa na kwa nini mkiongea hamuaminiki, mkiombwa picha mnaenda kuleta picha za Syria, Ukraine na za kwenye movies.
Wakati Vatican inacreat islamic waliprogram mpaka level za akili Kwa watakaofollow islamic.

Kwahiyo hivi Vitu viko programmed Kwa miaka mingi.

Any Islamic msomeshe mpaka degree 10 lakini ukimleta kwenye dini ni zero reasoning.
 
Mkiambiwa mtaje targets zilizokuwa hitted mnalalamika kuwa mnaonewa na kwa nini mkiongea hamuaminiki, mkiombwa picha mnaenda kuleta picha za Syria, Ukraine na za kwenye movies.
Ulikuwa usingizini siku ya tukio maana Kila media hata hapa jf members walikuwa live.
Israel wenyewe wanasema 99% intercepted kumaniisha 1% inayobaki ilifika sehemu husika. Hili suala sio la simba na Yanga kwamba Kila mtu analijua. Tuwe watulivu tujifunze sote
 
akili zako zimejaa ushetani , ulitaka waangalie makombora yakipita tu bila kuchukua hatua ? wangeaminije kama hayalengi kwao ?
🤣🤣🤣🤣 Unaumia sana ukiona mashoga 🌈 wenzako wakipigwa makombora ya vinyeo
 
Ulikuwa usingizini siku ya tukio maana Kila media hata hapa jf members walikuwa live.
Israel wenyewe wanasema 99% intercepted kumaniisha 1% inayobaki ilifika sehemu husika. Hili suala sio la simba na Yanga kwamba Kila mtu analijua. Tuwe watulivu tujifunze sote
Sasa hapo mdiyo ume comment nini? Kwani lazima wote wajue kuwa wewe mi Poyoyo?
 
Back
Top Bottom