Jose Chameleone: Hayati Magufuli hakuwa rais wa Tanzania tu bali rais wa Afrika mashariki

Shadow7

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
24,606
Reaction score
39,289
Msanii na mkongwe wa muziki kutoka nchini Uganda ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ @jchameleon ameeleza sababu za kutoka Uganda na kuja Tanzania kwa ajili ya kutoa pole na kumuaga hayati Rais Magufuli.

Akiongea na kituo cha habari cha EFM Chameleon ameeleza kwamba:-

Bofya hapa chini kutazama.



 
Watu wa Uganda wanasikitika kwanini hakufa Museveni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ