Jose Morinho aanza kutambua kwamba bei ya Pogba alipigwa

Jose Morinho aanza kutambua kwamba bei ya Pogba alipigwa

Niliwahi kuandika humu kwamba Paul Pogba si lolote si chochote , hawezi hata kufanana na Athuman China au Husein Masha , bei ile aliyouzwa mchezaji huyu ilikuwa ya kitapeli kabisa.

Kitendo cha Morinho mwenyewe kumtwanga benchi mchezaji huyu mbovu ni uthibitisho wa maandishi yangu.

Poleni sana wapenzi wa Man U kwa kuingizwa mkenge .
Ndugu wala usijidanganye NA hioo bench

Hill dili woote wakopamoja NA ndio maana wachezaji wakwanza walioletwa waliletwa wakiwa chini ya wakala.mmoja dili zisiteseke...hapo kaona dogoo kiwango kimeshuka wakamwita awekwe benchi kuhusu kupigwa anajua fika NA ameshiriki
 
Tatizo sio bei ya Pogba bali ni namna Mournho anavyoweza kukaa na wachezaji wazuri tuneona mfano wa matta,Salah na Debryne wote alikuwa nao chelsea lakini walishindwa kutamba lakini leo hii wanamuumbua
 
Niliwahi kuandika humu kwamba Paul Pogba si lolote si chochote , hawezi hata kufanana na Athuman China au Husein Masha , bei ile aliyouzwa mchezaji huyu ilikuwa ya kitapeli kabisa.

Kitendo cha Morinho mwenyewe kumtwanga benchi mchezaji huyu mbovu ni uthibitisho wa maandishi yangu.

Poleni sana wapenzi wa Man U kwa kuingizwa mkenge .
Hata kwa Sanchez amepigwa
 
vipi kwa yule beki wa liva > virgil ?//// 75 ? hahah.

chelsea pambaneni hali zenu sindano ziwaingie.... pogba level nyingine
 
Sevillla Vs Man U , Pogba out !

Limbwata limeisha ?
 
Mou ameanza kelele sasa timu imemshinda ametafuta pa kutokea kwani yeye ndio mnunuzi? au pesa imetoka mfukoni pake
bora angetoa kauli Ed ingekuwa na mashiko lakini huyu jamaa mharibifu hata simuamini kabisa
ache kupaki kibasi hata kwenye press
 
Tatizo sio bei ya Pogba bali ni namna Mournho anavyoweza kukaa na wachezaji wazuri tuneona mfano wa matta,Salah na Debryne wote alikuwa nao chelsea lakini walishindwa kutamba lakini leo hii wanamuumbua
point
kwani pogba amenunulia kwa pesa yake ya mfukoni?
anapaki kibasi hata kwenye press
mbinu yake ya ufundishaji ni ya kizamani watu hatutaki maneno tunataka mpira
 
point
kwani pogba amenunulia kwa pesa yake ya mfukoni?
anapaki kibasi hata kwenye press
mbinu yake ya ufundishaji ni ya kizamani watu hatutaki maneno tunataka mpira
Ha! Ha! Ha!
 
Pogba wa kawaida sana ila Mourinho keshazoea kupigwa kila deal. Hebu ona kwa Lukaku
 
Pogba ni mchezaji mzuri lakini ile bei yake siamini kama alistahili
Angalia pia alivyopigwa kwa Sanchez. Jamaa mpira sasa unagoma akipewa mpira wanamnyang'anya ile mipira juhudi zote kumbe Arsenal style yao ilikuwa inamwinua anaonekana bonge la mchezaji. Ona Miki tayari style ya Arsenal inavyompaisha. Juzi niliona Sanchez kila akipewa mpira haendi kokote ametolewa na kuingizwa kinda Rashford mpira ukafufuka
 
Angalia pia alivyopigwa kwa Sanchez. Jamaa mpira sasa unagoma akipewa mpira wanamnyang'anya ile mipira juhudi zote kumbe Arsenal style yao ilikuwa inamwinua anaonekana bonge la mchezaji. Ona Miki tayari style ya Arsenal inavyompaisha. Juzi niliona Sanchez kila akipewa mpira haendi kokote ametolewa na kuingizwa kinda Rashford mpira ukafufuka
FT
Arsenal
1 - 2
Oestersunds FK
 
Back
Top Bottom