Jose Mourinho afukuzwa kazi Tottenham

Morrinyo anatumia mbinu za kizamani, afu anategemea ushindi wa kisasa.

Namfananisha na Jiwe,
Upembuz yakinifu wa mwaka 1970, anautumia ktk utekelezaji mwaka 2020
 
Morrinyo anatumia mbinu za kizamani, afu anategemea ushindi wa kisasa.

Namfananisha na Jiwe,
Upembuz yakinifu wa mwaka 1970, anautumia ktk utekelezaji mwaka 2020
Ukae ukijua spurs vs mancity fainali carabao kwa mpira huo unaouita wa kizamani
 
Hivi aliyeanza kumchezesha Tanganga ni nani? wachambuzi wengine ni uchwara tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…