Jose Mourinho afutwa kazi Chelsea

Mou ninamkubali sana nitakuwa nae popote atakapo kwenda ila chese nooooo
 

msome wenger vizuri,wenger ni mwanamapinduzi,mjenzi wa mpira,fuatilia alivoubadili mpira wa uingereza,angependa makombe angeenda madrid walikokua wanamtaka usiku na mchana,tena wakat pale arsenal fedha hakuna
 
Nuksi zilianza na dokta Eva caneiro.

Timu ikavurugika kabisaaaaa.

Kwakweli sijafurahi kufukuzwa kwake but mustakabali wa timu ni muhimu zaidi .

Chelsea itabaki kuwa timu
Die hard fans will stick there forever may be we'll welcome him for third coming.

Hasta LA vista jose
 
40 milion pound
halafu Real Madrid wanamtaka...life is unfair

ndio maana wenzetu huwa wanaamua tu kusaidia mifuko ya hisani..asa kama hapo hayo mapesa yote huyo mournho atayafsnyia nini?
 
msome wenger vizuri,wenger ni mwanamapinduzi,mjenzi wa mpira,fuatilia alivoubadili mpira wa uingereza,angependa makombe angeenda madrid walikokua wanamtaka usiku na mchana,tena wakat pale arsenal fedha hakuna


Hivi wewe ni shabiki wa soka kweli au unevamia jukwaa tuu?

Kuna kocha asiyetaka makombe? Mafanikio ya kocha ni makombe,Kocha hukumbukwa kwa makombe na sio mbwembwe zozote,

Unajuaje kama angeenda Madrid angeshinda makombe?

Wewe sio mtu wa Soka rudi tu kwenye jukwaa lako la Mapenzi
 

MOURINHO atabaki kwenye mioyo yetu sisi mashabiki wa ukweli wa Chelsea,kuna kundi limemuhujumu Mourinho makusudi kabisaaa!!
 

wenger hatakuja kufukuzwa na bodi labda mashabiki.maana anatengeneza profit ya ukweli
 

tunatofautiana kaka,wewe na mourinho mnaishi ili mule,wengera anakula ili aishi,baada ya arsenal kuhama highbury kwenda emirates,walijua kwa muongo mmoja hawatashindania mataji ..lakini wacheze ligi ya mabingwa,muda ulipofika na kumaliza kulipa deni wakaanza kununua wachezaji kwa bei kubwa,kwa haiba ya wenger,angeenda madrid,psg,bayern..alikotakiwa,angenunua wachezaji wazuri na mataji angepata tu
 
MOURINHO atabaki kwenye mioyo yetu sisi mashabiki wa ukweli wa Chelsea,kuna kundi limemuhujumu Mourinho makusudi kabisaaa!!

mourinho hana 'class'..anapiga domo hovyo kama konda,akifungwa analaumu wachezaj hadharani,ana 'ego' sana
 
Chelsea is there to stay whether in his presence or absence
 

Aliyenunua timu ndo kaifikisha hapo kwenye mafanikio.
 

Mourinho hajawahi kuchukua UCL na Chelsea bali na INTER na PORTO
 

Well said...!
 

TFF wamchangamkie aje fundisha timu yetu ya Taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…