Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
Sio swala la utanzania. Kawaida unapoelezea jambo la aina yoyote ambalo source of original informations sio wewe, basi mwisho wa taarifa yako inabidi uweke reference kwa ajili ya wale watakaoipitia.Tabia halisi ya Mtanzania, sikulaumu..
wamejitahidi nini?? wamefanya kazi yaoInaweza kuwa hajasema haya ila ukweli marefa wamejitahidi sana kuamua kwa weledi kwenye Afcon na imependeza
Kwa akili zako ulifikiri Tanzania angeweza kuifunga Morocco..!! Msimuonee refa wa watu bwana, Tanzania na mpira wapi na wapi, wao wakimbizane na mwenge tu na kumwagia Mama sifa ambazo hana.Marefa wa Afcon wamejitahidi kiasi fulani
Achana na yule aliyechezesha mechi yetu na Morroco
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza ujinga tumia hiyo link kusoma hiyo taarifa.I can't web search everything. Ni jukumu la mleta taarifa kuweka na chanzo cha taarifa yake.
Muone huyu fala sasa. Hivi umeangalia Convo ilipoanzia au unapoidakia ndio hapo hapo unaonesha ujinga wako?Punguza ujinga tumia hiyo link kusoma hiyo taarifa.
Watiizii ujuaji mwiiingiiii!
Chili au 🍅 😂🤩🤩muwe mnaweka na sosi
Tumia neno 'Chanzo' ..muwe mnaweka na sosi