Pamoja mkuuNakuelewa sana. Ww sasa ndo naamini unafuatilia soka vizuri kwa akili zako mwenyewe na sio za kushikiwa
Pole sana jamaa.. ukiwa unaongea uwe na kumbukumbu!! José ana uefa ngapi na labda tuseme pep Ana ngapi?? usidhani ni kazi rahisi kufundisha ile team.. inabadilika slow sana...Alimuita Wenger "specialist in failure", asijue mzee alikuwa na average players. Basi Mou nae atumie hao average players tuone uwezo wake kwenye soka bila top notch.
Yalimshinda Real Madrid baada ya uwezo mkubwa waliokuwa nao Barcelona, akaondoka bila CL title, leo yupo MANU naamini hata ligi tu itakuwa mtihani mkubwa kwake.
Kweli kabisa alikuwa anaongea dharau sana kwa Wenger,zamu sasa imefika baada ya hapo itakuja ya Pep.Alimuita Wenger "specialist in failure", asijue mzee alikuwa na average players. Basi Mou nae atumie hao average players tuone uwezo wake kwenye soka bila top notch.
Yalimshinda Real Madrid baada ya uwezo mkubwa waliokuwa nao Barcelona, akaondoka bila CL title, leo yupo MANU naamini hata ligi tu itakuwa mtihani mkubwa kwake.
Pole sana jamaa.. ukiwa unaongea uwe na kumbukumbu!! José ana uefa ngapi na labda tuseme pep Ana ngapi?? usidhani ni kazi rahisi kufundisha ile team.. inabadilika slow sana...
Natumain mourinho amepita na ameona hii comment yakoMourinho piga kazi ot tunakuhitajii
Pep angepewa timu kama Arsenal na sera zao angeonekana wa hovyo zaidiMimi siamini pep ni kocha mzuri zaidi ya José...
kila alikopita alipewa kila alichotaka.. Lakini mpaka leo uefa inamshimda!.. licha ya kikosi chote kile cha buyern lakini uefa ilimshinda tena alipigwa vipigo vya mbwa koko.. wao bayern walimchukua pep for uefa maana ligi wameshaichoka... lakini ilimshinda... na man City ni hivyo hivyo tuu huko uefa anapigwa na kina Lyon licha ya kupewa kila kitu.. sidhani kama pep angeweza kubeba mzigo wa José hata siku tatu tuu..
Alimuita Wenger "specialist in failure", asijue mzee alikuwa na average players. Basi Mou nae atumie hao average players tuone uwezo wake kwenye soka bila top notch.
Yalimshinda Real Madrid baada ya uwezo mkubwa waliokuwa nao Barcelona, akaondoka bila CL title, leo yupo MANU naamini hata ligi tu itakuwa mtihani mkubwa kwake.
Kweli kabisa mkuu una jicho la mwewe..Pep angepewa timu kama Arsenal na sera zao angeonekana wa hovyo zaidi
Aliporudi Chelsea baadae akapoteza dressing room na ile dressing room ilikuwa chini ya John Terry.
John Terry akapeleka kesi kwa Abramovich na Mourinho akafukuzwa na malipo yote juu.
Sssa yupo Man Utd anaishapoteza dressing room ambayo imegawanyika. Kuna wachezaji ambao wanasikiliza maelekezo yake na kuna wale wasokubali kufuata maelekezo na kocha ambae anawazodoazodoa.
Bado Mourinho ana nafasi ya kuwa Pep Guadiola ambae ana uwezo wa kumfundisha na kuwatawala (man management) mchezaji jinsi ya kucheza mpira na akafuata na mifano ni mtu kama na Fabian Dephi ambae ametokea kuwa mchezaji wa kawaida na kuwa mchezaji mahiri.
Maourinho anapaswa kutumia utawala wake kwa wachezaji kama jinsi mzee Alex Ferguson alivyoweza kuwadhibiti wachezaji matajiri kama Bavid Beckam na Cristiano Ronaldo.
David beckam aliwahi kukung'utwa na kiatu cha mpira alichirushiwa na mzee Ferguson alipomletea za kuleta na mambo yakaishia dressing room, ingawa baadae taarifa zilitoka nje.
Sasa Mourinho ana mchezaji kama Paul Pogba, Romelu Lukaku ambao ni wana fainali na nusu fainali za kombe la dunia halafu leo hii wanacheza kwasakwasa badala ya mpira!
Mimi siamini pep ni kocha mzuri zaidi ya José...
kila alikopita alipewa kila alichotaka.. Lakini mpaka leo uefa inamshimda!.. licha ya kikosi chote kile cha buyern lakini uefa ilimshinda tena alipigwa vipigo vya mbwa koko.. wao bayern walimchukua pep for uefa maana ligi wameshaichoka... lakini ilimshinda... na man City ni hivyo hivyo tuu huko uefa anapigwa na kina Lyon licha ya kupewa kila kitu.. sidhani kama pep angeweza kubeba mzigo wa José hata siku tatu tuu..
Mkuu mbona unamshusha sanaa.. alivyokuwa the blues kwa mara ya kwanza je???Mourinho zama zake ziliishia Inter, Madrid alikuwa na kikosi hajachukua UEFA.
Mimi naomba muendelee naye ili wapinzani tuendelee kuwacheka.
Mkuu mbona unamshusha sanaa.. alivyokuwa the blues kwa mara ya kwanza je???
Sawa mkuu umeshinda Mzee wa liver..Nimesema Mourinho baada ya Inter, ndo basi, kama kuku alidonoa punje ziliishia 2010 May.
Chelsea msimu wa kwanza he was the special one (real special), iko within the set.
haha mkuu sijasema Kuwa weusi hawawezi ila soka kiujumla limebadilika... Leo mpira umekuwa mlaini sana... alidhani atapata kariba ya kina drogba... ila sasa hawapo... sasa hivi ozil anamkaba hellela....NIMESOMA WEE ILA NIMEGUNDUA KUNA UBAGUZI MWINGIIII KWENYE HII UZI,INA MAANA KAANGUSHWA NA WATU WEUSI SIO.
sasa nimeelewa unamaanisha atoke kwenye soka la kibabe aelee kwenye soka ya kike kike na akili mingi,ila bado naamini ni bonge la kocha.ila kingine wazungu ni wanafiki sana nimegundua.kuna mchezo unaenea sana siku hizi wachezaji au uongozi ukikuchukia wanawatumia kukuharibia matokeo.Tuliyaona hata leicester city.haha mkuu sijasema Kuwa weusi hawawezi ila soka kiujumla limebadilika... Leo mpira umekuwa mlaini sana... alidhani atapata kariba ya kina drogba... ila sasa hawapo... sasa hivi ozil anamkaba hellela....
haswa waingereza ni wanafki sana mkuu.. mourinho wanamponda sana ila muda utasemasasa nimeelewa unamaanisha atoke kwenye soka la kibabe aelee kwenye soka ya kike kike na akili mingi,ila bado naamini ni bonge la kocha.ila kingine wazungu ni wanafiki sana nimegundua.kuna mchezo unaenea sana siku hizi wachezaji au uongozi ukikuchukia wanawatumia kukuharibia matokeo.Tuliyaona hata leicester city.