NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
yaani haka katabia wanaanza kukazoea,ni hatari sana hawa watu.nadhani ni wasambaa wale sema tu ni zeruzeru.haswa waingereza ni wanafki sana mkuu.. mourinho wanamponda sana ila muda utasema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani haka katabia wanaanza kukazoea,ni hatari sana hawa watu.nadhani ni wasambaa wale sema tu ni zeruzeru.haswa waingereza ni wanafki sana mkuu.. mourinho wanamponda sana ila muda utasema
Hahaha mkuu umetisha.. wasambaa wa ulayayaani haka katabia wanaanza kukazoea,ni hatari sana hawa watu.nadhani ni wasambaa wale sema tu ni zeruzeru.
Sapoti ipi unaizungumzia?Niwakumbushe pia. Kwenye hili sakata la Mou hata Pep Guardiola amekiri kuwa yeye si kocha bora (Pep) bali ana bahati ya kwenda kwenye clubs zinazompa sapoti. Akaendelea kusema hata huko kwingine kuna makocha bora sana ila tu hawapo kwenye clubs wanazoweza kuwapa sapoti wanayohitaji. La, wangepata sapoti hata wao wangekuwa na mafanikio makubwa zaidi. Huyu ni Pep Guardiola
ndio hawana uzungu wowote ni waswahili sana.Hahaha mkuu umetisha.. wasambaa wa ulaya
Mkuu usijifanye una kichwa kigumu... usituchosheSapoti ipi unaizungumzia?
Fafanua basiMkuu usijifanye una kichwa kigumu... usituchoshe
Ukisema sapoti inajumuisha pesa ya usajili, ushirikiano kuanzia wachezaji,benchi la ufundi.. yaani team nzima inampa sapoti na bado anashindwa..Fafanua basi
Je Mourinho hakupewa fungu la usajili toka afike?Ukisema sapoti inajumuisha pesa ya usajili, ushirikiano kuanzia wachezaji,benchi la ufundi.. yaani team nzima inampa sapoti na bado anashindwa..
na je kasajili wangapi??? Na bei je???.... Ni pogba na Sánchez tuu ndo wanakula hela nzuri ila hawa wengine.... nenda man City sasa!!.. nadhani umeelewaJe Mourinho hakupewa fungu la usajili toka afike?
Wachezaji aliowasajili toka afike ni yupi ameleta impact kwenye timu?
Hoja yako dhaifu.na je kasajili wangapi??? Na bei je???.... Ni pogba na Sánchez tuu ndo wanakula hela nzuri ila hawa wengine.... nenda man City sasa!!.. nadhani umeelewa
Kweli kabisaSema mashabiki wanashindwa kuelewa haiwezekani mchezaji hawe juu ya kocha fukuza pogba