Jose Mtambo na Jay Mo nani mkali?

Tatizo jmo nae sikuhizi anaimba utumbo kama jo makini
Kuna ile old skull hip hop ambayo walikua wakiifanya zamani, siku hizi haina soko.

Wengi wanaoimba hip hop ngumu siku hizi wanafanya for fun, ila sio kibiashara (mfano Nikki Mbishi).

Sasa Jay Moe kaamua kubadilika ili aendane na soko. Fame bila cash kwake haifai, sababu he has to pay the bills.

Wanaofanya ngumu na wanaofanya commercial, wote wako sawa!

Ndio maana kuna Eminem na pia kuna Drake!
 
Jay to the mo hatari. lakini pia jose mtambo wa kigambonino simchukulii poa
 
MO tech ni bonge la wordsmith, napenda style ya kigambonino though.
Kura yangu kwa Mo.
 
Mkuu naitafuta sana hii ngoma ya Jose Kizaazaa bila mafanikio Ntafurahi sana kama ukiweka hapa..

Kurudi Kwenye mpambano wa Jay Moe Vs Jos

JOSE MTAMBO NI BORA ZAIDI YA MOE YUKO NA FLOW YA KIPEKEE SANA, MISTARI YAKE INAUTAMU FLAN HV HACHOSHI KUMSKIZA MASIKIONI MUDA WOTE. HE'S THE G.O.A.T!!

- MWANGA NJOO GIZANI UPATE DISCIPLINE.

JOSE NOMA SANA, INGAWA MOE PIA NAMKUBALI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…