Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Kidole kimoja juuKuna ile ngoma alishirikishwa na roma,,,jina silikumbuki,,,jamaa aliflow vzr
Achana na ile yupo roma,darasa na mtambo
Kidole kimoja juu
Actually ni "kidole cha mwisho juu" ila pia ni maarufu kama "MECHI ZA UGENINI".Ndio inaitwa hvyo mkuu??jamaa aliitendea haki ile beat,,,,mtambo anavyoflow ni kutoka moyon ana nata na beat sana,flow ya ukweli sana
Darasa huru ni balaaaaaaMkuu naitafuta sana hii ngoma ya Jose Kizaazaa bila mafanikio Ntafurahi sana kama ukiweka hapa..
Kurudi Kwenye mpambano wa Jay Moe Vs Jos
JOSE MTAMBO NI BORA ZAIDI YA MOE YUKO NA FLOW YA KIPEKEE SANA, MISTARI YAKE INAUTAMU FLAN HV HACHOSHI KUMSKIZA MASIKIONI MUDA WOTE. HE'S THE G.O.A.T!!
- MWANGA NJOO GIZANI UPATE DISCIPLINE.
JOSE NOMA SANA, INGAWA MOE PIA NAMKUBALI.
Yes,,,Nimezoea hili jina la Mechi za ugenini,,,hii ngoma usipime aiseeActually ni "kidole cha mwisho juu" ila pia ni maarufu kama "MECHI ZA UGENINI".
Ile kitu ni habari nyingine kabisa
Nakwenda kumpa dili akinata nageuza gari twende na sinza mbezi Shakira tano kunduchiNaweza kumsikiliza
Hashimu dogo
Raf mc
Jay mo
Solo than
Ngwea......
usimuweke jose ktk level hizo jose mpeleke kwenye level za Mac D, balozi, Benjamin mambo jambo,Zaharan (tupa mawe) jose ni alitoa song ila ajawai kuishika game alikuwa kawaida tu....Jay more nampa 80 jose 20
Kama unataka demu" nakwenda kumpa dili akinata nageuza gari
Moo utavaaje ikiwa home na majukumu mshua itakuaje ikiwa home na majukumu yanii kasheshe la kazeze usiyoyaweza yote uyaweza
"Ticha ana teach some
Denti ana pafu some
Kidole cha mwisho juuKuna ile ngoma alishirikishwa na roma,,,jina silikumbuki,,,jamaa aliflow vzr
Achana na ile yupo roma,darasa na mtambo