Uchaguzi 2020 Joseph Haule(Profesa J) anogewa na ubunge, achukua tena fomu Mikumi

Uchaguzi 2020 Joseph Haule(Profesa J) anogewa na ubunge, achukua tena fomu Mikumi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Katibu wa CHADEMA jimbo la MIKUMI kamanda @dennis_mosha akinikabidhi FOMU ya kut ( 777 X 640 ).jpg
Yule mbunge pekee anayewakilisha wanyama na binadamu, ambaye pia amesimikwa kuwa msemaji rasmi wa Mkoa wa Morogoro, Joseph Haule amechukua tena fomu ya kuomba ridhaa hiyo.
 
Ndo maana mlimpiga Warioba alivyowaletea rasimu , kuhusu Prof Jay yuko vizuri tunaitaji Mbunge makini na msomi.
 
Kumbe watia nia wote wa CDM wamenogewa au ni Prof tu?
 
Hivi wanunge huwa wanatutumikiaje? Hawa watu wafutwe watendaji wa serkali wa umma wanatosha. Wachoongea bungeni sio mawazo yetu, hakuna mahali tunakaa nao na kupanga au kuwaambia watusemee nini, wanasema utashi wao tu.
 
Mbona uchukuaji wake wa form so ordinary hakuna mikogo ya bodaboda, kubebwa akiingia ukumbuni, vigegele vya akina mama, kuombwa na wazee, kulipiwa form, kusimamishwa na wazee sijui wanafunzi njiani, msafara; heck ata mpambe hakuna sasa si bora asingepiga picha tu kama aliamua kwenda kimya.
 
Prof ameshindwa hata kufanya ukarabati wa hiyo ofisi anapochulia fomu?
 
Hivi wanunge huwa wanatutumikiaje? Hawa watu wafutwe watendaji wa serkali wa umma wanatosha.
Wachoongea bungeni sio mawazo yetu, hakuna mahali tunakaa nao na kupanga au kuwaambia watusemee nini , wanasema utashi wao tu
Wakisimama kule bungeni na kusema barabara ya kutoka sehemu point A to B inatakiwa iwekwe lami ni kwa ajili ya wananchi wa maeneo hayo, wakitaka fedha kwa ajili ya ukarabati wa shule, kuchimba visima, kujenga zahanati vyote ni kwa ajili ya wananchi wao.

Nionavyo, wabunge wana umuhimu kwa wananchi na serikali, wao ndio hufikisha kilio cha wananchi wao serikalini wakiwa bungeni.
 
Mbona uchukuaji wake wa form so ordinary hakuna mikogo ya bodaboda, kubebwa akiingia ukumbuni, vigegele vya akina mama, kuombwa na wazee, kulipiwa form, kusimamishwa na wazee sijui wanafunzi njiani, msafara; heck ata mpambe hakuna sasa si bora asingepiga picha tu kama aliamua kwenda kimya.
Sasa kama wote tungekuwa kama hao wanaofanya mikogo Mungu asingekuwa na haja ya kuumba wasio na mikogo.
 
Kwani unaona anaitwaje?
Si unajua hawa wasanii aghalabu hupenda kutunia majina bandia.Nilidhani ni Uprof.wa kisanii.Samahani lakiini,ungenipa jibu badala ya kubandika swali juu ya swali langu
 
Back
Top Bottom