Joseph Kusaga ahamisha makazi yake Abu Dhabi

Joseph Kusaga ahamisha makazi yake Abu Dhabi

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia Kwenu,

Wadau kuna habari Le grande mupao suvereee mwonkozi Joseph Kusaga amehamia Abu Dhabi kwenye makazi mapya,anataka kufungua radio station huko huko na kupeleka king'amuzi chake!

Big up J.Kusaga
 
Umofia Kwenu,
Wadau kuna habari Le grande mupao suvereee mwonkozi Joseph Kusaga amehamia Abu Dhabi kwenye makazi mapya,anataka kufungua radio station huko huko na kupeleka king'amuzi chake! Big up J.Kusaga

Hiyo radio station labda itakuwa inasikilizwa na watu wa kinondoni.
 
Umofia Kwenu,
Wadau kuna habari Le grande mupao suvereee mwonkozi Joseph Kusaga amehamia Abu Dhabi kwenye makazi mapya,anataka kufungua radio station huko huko na kupeleka king'amuzi chake! Big up J.Kusaga

Hayo yote ni majina yake?
 
tutake radhi wakazi wa Tanzania

Kamanda upo? Hivi inakuingia akinilini clouds media ifunguwe radio station Abu dhabi? Wasikilizaji ni kina nani?

Karibu mkuu nipo hapa uhuru peak nakula mema ya nchi na kukodolea macho watoto wakare!!
 
kama nakiona vile kile ki mama kiherehere a.k.a mama kijacho na li bwashehe lake muta... watavo jitawala kazi ipo wajameni
 
Kamanda upo? Hivi inakuingia akinilini clouds media ifunguwe radio station Abu dhabi? Wasikilizaji ni kina nani?

Karibu mkuu nipo hapa uhuru peak nakula mema ya nchi na kukodolea macho watoto wakare!!

Sogea na Eronera kuna Baikoko kila Ijumaa na KangaMoko kila Jumamosi, au ukiona bored njoo Twita kwa Ideed tule vitu
 
Back
Top Bottom