sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Joseph Kusaga ameshea jina la EP ya Mbosso. Ep itaitwa KHAN na itatoka kesho saa 6 usiku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe ulikosa jina la kisukuma mpaka kujifanya mzungu mweusi ?Dah hivi alikosa jina la kimakua mpaka ajifanye mhindi mweusi?
Mi sio msanii, sio kioo cha jamiiNa wewe ulikosa jina la kisukuma mpaka kujifanya mzungu mweusi ?
Unaonaje ukaamua kuwa msanii sasaMi sio msanii, sio kioo cha jamii
Sasa kama wasanii wanaotuwakilisha wote wanausaliti utamaduni basi wanawakilisha nini?
Soon naingia booth. Be readyUnaonaje ukaamua kuwa msanii sasa
Sawa tunasubri ujio wako kweNYe gaMeSoon naingia booth. Be ready
Kafungisha hahahahahaDah hivi alikosa jina la kimakua mpaka ajifanye mhindi mweusi?
Usiwe na wasiwasi khan sio kihindi ni jina la Kiajemi (kiiran) hata india ni jina la kuja sio lao la asiliMi sio msanii, sio kioo cha jamii
Sasa kama wasanii wanaotuwakilisha wote wanausaliti utamaduni basi wanawakilisha nini?
Unafiki tu,hakuna kioo cha jamii wala kijijiMi sio msanii, sio kioo cha jamii
Sasa kama wasanii wanaotuwakilisha wote wanausaliti utamaduni basi wanawakilisha nini?
Wapo wahindi weusi huko IndiaDah hivi alikosa jina la kimakua mpaka ajifanye mhindi mweusi?
Imagine big boss Kusaga anaweka heri kwenye biashara yako..... majaliwa hayo huwezi zuiaMaskini comments hamna siku hizi. daah kiki ngumu
Jina halina shida ilo, Khan ni style yake yenye fusion ya Bangla.Dah hivi alikosa jina la kimakua mpaka ajifanye mhindi mweusi?
Wewe jamaa WCB huwa wanakupa nini usiku?Jina halina shida ilo, Khan ni style yake yenye fusion ya Bangla.
Imagine big boss Kusaga anaweka heri kwenye biashara yako..... majaliwa hayo huwezi zuia
Inauma eeeeh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe mwenyewe unajifanya Ustaadh mwenye msimamo mkali wa dini! Halafu unajiita jina la Kimagharibi!! Tena linafanana na jina la Malkia!Dah hivi alikosa jina la kimakua mpaka ajifanye mhindi mweusi?
Huyo sio Ostaz wala Muislamu ni mtu wa upande wenu au atheist ..Wewe mwenyewe unajifanya Ustaadh mwenye msimamo mkali wa dini! Halafu unajiita jina la Kimagharibi!! Tena linafanana na jina la Malkia!
Unakosea wapi Sheikh!! Wewe na huyo Mboso mna tofauti kweli!
Huoni mimi mwenzako! Tate Mkuu ni jina la Kisambaa! Likimaanisha Baba Mkubwa!
Kweli, inabidi mimi na mbosso tuige mfano kutoka kwakoWewe mwenyewe unajifanya Ustaadh mwenye msimamo mkali wa dini! Halafu unajiita jina la Kimagharibi!! Tena linafanana na jina la Malkia!
Unakosea wapi Sheikh!! Wewe na huyo Mboso mna tofauti kweli!
Huoni mimi mwenzako! Tate Mkuu ni jina la Kisambaa! Likimaanisha Baba Mkubwa!