Joseph Kusaga ampa support Mbosso

Joseph Kusaga ampa support Mbosso

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
IMG_20221026_161156.jpg


Joseph Kusaga ameshea jina la EP ya Mbosso. Ep itaitwa KHAN na itatoka kesho saa 6 usiku.
 
Dah hivi alikosa jina la kimakua mpaka ajifanye mhindi mweusi?
Wewe mwenyewe unajifanya Ustaadh mwenye msimamo mkali wa dini! Halafu unajiita jina la Kimagharibi!! Tena linafanana na jina la Malkia!

Unakosea wapi Sheikh!! Wewe na huyo Mboso mna tofauti kweli!

Huoni mimi mwenzako! Tate Mkuu ni jina la Kisambaa! Likimaanisha Baba Mkubwa!
 
Wewe mwenyewe unajifanya Ustaadh mwenye msimamo mkali wa dini! Halafu unajiita jina la Kimagharibi!! Tena linafanana na jina la Malkia!

Unakosea wapi Sheikh!! Wewe na huyo Mboso mna tofauti kweli!

Huoni mimi mwenzako! Tate Mkuu ni jina la Kisambaa! Likimaanisha Baba Mkubwa!
Huyo sio Ostaz wala Muislamu ni mtu wa upande wenu au atheist ..
 
Wewe mwenyewe unajifanya Ustaadh mwenye msimamo mkali wa dini! Halafu unajiita jina la Kimagharibi!! Tena linafanana na jina la Malkia!

Unakosea wapi Sheikh!! Wewe na huyo Mboso mna tofauti kweli!

Huoni mimi mwenzako! Tate Mkuu ni jina la Kisambaa! Likimaanisha Baba Mkubwa!
Kweli, inabidi mimi na mbosso tuige mfano kutoka kwako
 
Back
Top Bottom