Joseph Kusaga ampa support Mbosso

Joseph Kusaga ampa support Mbosso

Angalia usije ukamkufuru mola wako kwa kumpakazia mja wake
Nakuja mpaka aya hiyo inkataza kuhisi mtu na kumpakazia
26392bc1d2b9b59f717192275bf591fe.jpg
Ila nina uhakika 100% ninachosema ,wewe upo daraja la wanafiki usipotubu utakuwa kwenye moto mkali kabisa grade A motoni nafsi yako inatosha kuwa shahid ngoja niishie hapa nisiharibu nada ya watu.
 
Nakuja mpaka aya hiyo inkataza kuhisi mtu na kumpakaziaView attachment 2399456Ila nina uhakika 100% ninachosema ,wewe upo daraja la wanafiki usipotubu utakuwa kwenye moto mkali kabisa grade A motoni nafsi yako inatosha kuwa shahid ngoja niishie hapa nisiharibu nada ya watu.
Umeweka aya halafu ukaenda kinyume nayo hapohapo.
Tubu mkuu, mola wetu ni mwingi wa rehema (Al-Rahman)

5:39 lakini mwenye kutubia baada ya dhulma yake, na akatengenea, basi Mwenyezi Mungu atapokea toba yake. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira na Mwenye kurehemu. 39
 
Umeweka aya halafu ukaenda kinyume nayo hapohapo.
Tubu mkuu, mola wetu ni mwingi wa rehema (Al-Rahman)

5:39 lakini mwenye kutubia baada ya dhulma yake, na akatengenea, basi Mwenyezi Mungu atapokea toba yake. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira na Mwenye kurehemu. 39
Umeacha lini ukafiri ? nina uhakika ninachoongea najua ni dhambi kubwa kumuhusisha mtu na kitu ambacho hana.Tubu kama aya uliyoweka inavyotaka usije kufa halo ya kuwa mnafiki.
 
Mi sio msanii, sio kioo cha jamii
Sasa kama wasanii wanaotuwakilisha wote wanausaliti utamaduni basi wanawakilisha nini?
Kabla ya yote, je, aina ya muziki anaoufanya, ni muziki unaowakilisha utamaduni wenu!? Wewe binafsi, aina yako ya uvaaji na ukataji nywele, unawakilisha hiko unachokiita utamaduni wenu!?
 
Umeacha lini ukafiri ? nina uhakika ninachoongea najua ni dhambi kubwa kumuhusisha mtu na kitu ambacho hana.Tubu kama aya uliyoweka inavyotaka usije kufa halo ya kuwa mnafiki.
Ndio tatizo lenu mashia...mnajifanya kama nyie ndio waislam pekee wengine wote makafir.
Nakuhakikishia wewe huijui Quran wala sunnah za mtume hujazipitia.
Kuna mambo mengi ya dini hujui, ila unaendeshwa na kibri
Mola akuoneshe njia.
 
Kabla ya yote, je, aina ya muziki anaoufanya, ni muziki unaowakilisha utamaduni wenu!? Wewe binafsi, aina yako ya uvaaji na ukataji nywele, unawakilisha hiko unachokiita utamaduni wenu!?
Everybody knows Mbosso anaimba kihindi, mabiti ya kihindi style za sharukhan

Nywele zangu sio Sanaa na nikifa nazikwa nazo...ila mziki unaishi na mpaka wajukuu zetu watakuja kusikia jinsi mababu zao kina mbosso walivyouza utamaduni wetu na kuiga mambo ya kihindi ili wamake a quick buck.
 
Ndio tatizo lenu mashia...mnajifanya kama nyie ndio waislam pekee wengine wote makafir.
Nakuhakikishia wewe huijui Quran wala sunnah za mtume hujazipitia.
Kuna mambo mengi ya dini hujui, ila unaendeshwa na kibri
Mola akuoneshe njia.
Unafurahisha sana kijana ,mimi niko mbali sana na ushia.
 
Everybody knows Mbosso anaimba kihindi, mabiti ya kihindi style za sharukhan

Nywele zangu sio Sanaa na nikifa nazikwa nazo...ila mziki unaishi na mpaka wajukuu zetu watakuja kusikia jinsi mababu zao kina mbosso walivyouza utamaduni wetu na kuiga mambo ya kihindi ili wamake a quick buck.
Mbosso anaimba kihindi!? Labda sijui kihindi cha kisasa ambacho maneno yake nayaelewa kwa kiswahili. Amapiano na aina nyingine za Kinaija nazo ni muziki wenu wa asili!? Muziki wa utamaduni wenu ni upi!? Nisaidee japo wasanii watatu na nyimbo zao za kitamaduni katika hii mnayoita bongoflava.
 
Mbosso anaimba kihindi!? Labda sijui kihindi cha kisasa ambacho maneno yake nayaelewa kwa kiswahili. Amapiano na aina nyingine za Kinaija nazo ni muziki wenu wa asili!? Muziki wa utamaduni wenu ni upi!? Nisaidee japo wasanii watatu na nyimbo zao za kitamaduni katika hii mnayoita bongoflava.
Diamond-Kitorondo
Rayvanny- kiuno
Killy-Ni wewe
 
Kusaga hafanyi kitu bila maslahi hapo kuna kitu amepata hafanyi vitu bila mipango yule mzee
 
Back
Top Bottom