Pre GE2025 Joseph Kusaga: Mwaka 2025, Mama ndiye Rais wetu

Pre GE2025 Joseph Kusaga: Mwaka 2025, Mama ndiye Rais wetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo teyari uchaguzi umeshapita na matokeo kayataja kusaga.
Bila uwepo wa ruge usingekuwa hivi yani yule kusaga wa zamani kawa kukoboa sasa
 
Kusaga wewe chawa tu kama chawa wengine rahisi wako wewe tu ,sio wote huyo
 
Bado wanakumbuka zile tenda za matukio ya Ikulu walizokuwa wanagewa wakati wa JK. Hapa naona anatengeneza mazingira ya kuendelea kupewa michongo ikiwemo ya kutafuta wasanii wa kutumbuiza kwenye hafla uchwara na kampeni i za uchaguzi za ccm..

Pia kuna masuala ya kodi. Ni kutengeneza mazingira tu.
 
Wakuu,

Ni wazi sasa kuwa Clouds ni tawi la CCM.

Akizungumza jana kwenye Mkurugenzi wa Clouds Media Joseph Kusaga, alisema kuwa kwenye Uchaguzi wao wanaenda na Mama.

Baada ya spana kuzidi naona wamefunga comments kwenye hiyo post ya Instagram

"Huu ni mwaka tunakwenda kwenye uchaguzi na uchaguzi wetu tumeshasema mama ndiye Rais wetu. Mimi Sina Chama ndio maadili ya shughuli ninayofanya lakini mama amepewa nafasi ya kusema kwamba yeye ndiye atakayekuwa mgombea wetu rasmi"


View attachment 3268869
Ni jambo la kutafakari sana kuona Aston Villa ikicheza robo fainali za UEFA wakati Man United haijawahi kushiriki hata kwenye hatua ya mtoano tangu kuondoka kwa Sir Alex Ferguson
 
Yeye ni nani hadi kutusemea sisi, kisa anazo media. Awe makini, tutaacha kuziangalia.Asitusemee nafsi zetu chawa mkubwa.
Watu kama hawa ukiwafukunyuwa behind the scene utakutana na vimbwanga vya hali ya juu, watu kama hawa wanajitokeza kumpaka mama mafuta kwa mgongo wachupa kuficha maovu yao.
 
Back
Top Bottom