Pre GE2025 Joseph Kusaga: Mwaka 2025, Mama ndiye Rais wetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo teyari uchaguzi umeshapita na matokeo kayataja kusaga.
Bila uwepo wa ruge usingekuwa hivi yani yule kusaga wa zamani kawa kukoboa sasa
 
Kusaga wewe chawa tu kama chawa wengine rahisi wako wewe tu ,sio wote huyo
 
Bado wanakumbuka zile tenda za matukio ya Ikulu walizokuwa wanagewa wakati wa JK. Hapa naona anatengeneza mazingira ya kuendelea kupewa michongo ikiwemo ya kutafuta wasanii wa kutumbuiza kwenye hafla uchwara na kampeni i za uchaguzi za ccm..

Pia kuna masuala ya kodi. Ni kutengeneza mazingira tu.
 
Ni jambo la kutafakari sana kuona Aston Villa ikicheza robo fainali za UEFA wakati Man United haijawahi kushiriki hata kwenye hatua ya mtoano tangu kuondoka kwa Sir Alex Ferguson
 
Yeye ni nani hadi kutusemea sisi, kisa anazo media. Awe makini, tutaacha kuziangalia.Asitusemee nafsi zetu chawa mkubwa.
Watu kama hawa ukiwafukunyuwa behind the scene utakutana na vimbwanga vya hali ya juu, watu kama hawa wanajitokeza kumpaka mama mafuta kwa mgongo wachupa kuficha maovu yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…