[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ,ustake nivunjike mbavu, weee na data vizuri acha kukurupuka, hizo ulizozitaja ndio za mke wa kusaga.Sasa hisa si ndo anaongoza 51% DIAMOND BABA YAKO.
Nmeshakuzoea hunisumbui kwa chochote, hebu kunywa maji mengi, af relaaaaaaaaaaaax lolUNACHANGANYIKIWA BURE
Kwani clouds kipo tofauti na clouds 360...?Hivi zaidi ya Sports Arena kuna kipindi cha maana Wasafi fm?
Tatizo unanibishia mimi member kule ni board of directors among.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ,ustake nivunjike mbavu, weee na data vizuri acha kukurupuka, hizo ulizozitaja ndio za mke wa kusaga.
Sasa wewe unamsumbua nani, maana kutwa kuiponda wasafi[emoji24][emoji24][emoji24]Nmeshakuzoea hunisumbui kwa chochote, hebu kunywa maji mengi, af relaaaaaaaaaaaax lol
Jishikirie na utu uzima ulionao, khaaaaaaahSijakupangia mpenz wangu.
Unateseka eeeh? Poleeeeeeh sana uwiiiiiiiiiiiiiiihSasa wewe unamsumbua nani, maana kutwa kuiponda wasafi[emoji24][emoji24][emoji24]
Unaniumiza unapoiponda sawa, hafu pole hainisaidii maana unazidi kuiponda tu daily.Unateseka eeeh? Poleeeeeeh sana uwiiiiiiiiiiiiiiih
Me siipondi WCB wala wahusika wake, but huwa nasema ukweli na uhalisia ambao ninyi hamtaki kuusikia, kwahiyo kuwa mpoleeeeeeh tyuuh, wee endelea kuwa fan wa WCB uhuru n wako.Unaniumiza unapoiponda sawa, hafu pole hainisaidii maana unazidi kuiponda tu daily.
100% umeongea fact kubwa me nashangaa hili swala share kwa diamond limekua tatizo lina waumizia watu vichwa.mbn mengi alikuwa shareholder Wa coca cola lakin they don't talk
sizani kama adam ana chuki na diamond kwani nakumbuka hata baada ya clouds kuamua nyimbo za dimondi zisipigwe kwenye radio yao adam aliendelea kuwa na mahusiano mazuri na diamond nakumbuka hata kwenye birtday ya mond jamaa alimpost kwenye ukurasa wake wa intagram aka mu wish, labda kama walikuja kutofautiana baadae kwa mambo mengine. Cha pili adam kuuliza vile sizani kama ilikuwa kwa chuki ila i think alitaka jibu la kuuhakikishia umma kwamba nani hasa mmilikiMm niliposikiliza nimegundua vitu hivi
1-wasanii wanaobaniwa hawana tatizo direct na kusaga Bali watu Wa chini ya kusaga
2-adam hampend diamond
3-anapenda watanzania waamini kuwa kile kituo mmiliki co chibu cjui akijua atafaidika nn
3-yupo emotional sana na vitu visivyo na maana.mfano issue ya dozen kuondoka
HIVYO BASI:sidhan kama kuna haja mtangazaji mwenye miaka kumi kwenye game lafu unakuwa na maswali ya kinafiki kama Yale ya adam.na soon kama kuna haja ya kumuongelea mtu ambae yy hakuongelei.....na issue ya wasfi media its all about business sion kama kuna tatizo diamond kuwa na share na hao akina kusaga
Watu wa coca hatupendi ligi za ajabu namna hii. Kusaga mwenyewe anasema hahusiki na wasafi media ila wewe unajitahidi Ku twist mambo kummilikisha hii media Kusaga. Hii inakupa ahueni gani kisaikolojia? Haya mambo waachie wakulima wanywa PepsiWasafi mmiliki n mke wa kusaga, sasa yeye Adamu aanze kumuita kusaga hivyo imekuaje khaaaaah, hata hivyo hapo amepiga tyuuh chenga ya mwili, anahusika sana hapo.
Mkuu unatumia nguvu kubwa Sana kutuaminisha hewa , MBNA kusaga kasema hahusiki na wasafi may be Kuwa mshauri wakihitaj , au we ndo kusaga na mke wake......Me siipondi WCB wala wahusika wake, but huwa nasema ukweli na uhalisia ambao ninyi hamtaki kuusikia, kwahiyo kuwa mpoleeeeeeh tyuuh, wee endelea kuwa fan wa WCB uhuru n wako.
ππππYaani CEO asiwe na maamuzi, sasa huyo ni CEO au boya?
watu wa arusha WENGI HUWA N wanafki na wana chuki na watu wenye mafanikio kuwazid waoMm niliposikiliza nimegundua vitu hivi
1-wasanii wanaobaniwa hawana tatizo direct na kusaga Bali watu Wa chini ya kusaga
2-adam hampend diamond
3-anapenda watanzania waamini kuwa kile kituo mmiliki co chibu cjui akijua atafaidika nn
3-yupo emotional sana na vitu visivyo na maana.mfano issue ya dozen kuondoka
HIVYO BASI:sidhan kama kuna haja mtangazaji mwenye miaka kumi kwenye game lafu unakuwa na maswali ya kinafiki kama Yale ya adam.na soon kama kuna haja ya kumuongelea mtu ambae yy hakuongelei.....na issue ya wasfi media its all about business sion kama kuna tatizo diamond kuwa na share na hao akina kusaga
Uwage unaelewa sio kukurupuka, wapi nimeaiminisha kusaga? Mie nimesema Wasafi mmiliki ni mke wa kusaga, sasa huo uhewa unatoka wapi? Afu nkuulize mke wa kusaga si ndio mweny hisa nyingi palee? Au wee hujui hilo? KhaaaaaahMkuu unatumia nguvu kubwa Sana kutuaminisha hewa , MBNA kusaga kasema hahusiki na wasafi may be Kuwa mshauri wakihitaj , au we ndo kusaga na mke wake......
Sijahusisha kusaga mie, na ndio maana mimeshangaa huyo Adamu kumuhusisha kusaga, anayehusika Wasafi n mke wa kusaga ambaye n mmiliki, hayo mengine ya coca na pepsi me hayanihusu.Watu wa coca hatupendi ligi za ajabu namna hii. Kusaga mwenyewe anasema hahusiki na wasafi media ila wewe unajitahidi Ku twist mambo kummilikisha hii media Kusaga. Hii inakupa ahueni gani kisaikolojia? Haya mambo waachie wakulima wanywa Pepsi