Mm niliposikiliza nimegundua vitu hivi
1-wasanii wanaobaniwa hawana tatizo direct na kusaga Bali watu Wa chini ya kusaga
2-adam hampend diamond
3-anapenda watanzania waamini kuwa kile kituo mmiliki co chibu cjui akijua atafaidika nn
3-yupo emotional sana na vitu visivyo na maana.mfano issue ya dozen kuondoka
HIVYO BASI:sidhan kama kuna haja mtangazaji mwenye miaka kumi kwenye game lafu unakuwa na maswali ya kinafiki kama Yale ya adam.na soon kama kuna haja ya kumuongelea mtu ambae yy hakuongelei.....na issue ya wasfi media its all about business sion kama kuna tatizo diamond kuwa na share na hao akina kusaga