Joseph Kusaga: Sijaanzisha Wasafi Media

Joseph Kusaga: Sijaanzisha Wasafi Media

Wasafi mmiliki n mke wa kusaga, sasa yeye Adamu aanze kumuita kusaga hivyo imekuaje khaaaaah, hata hivyo hapo amepiga tyuuh chenga ya mwili, anahusika sana hapo.
Kitu ambacho mnajifanya hamkijui ni kuwa ile Wasafi hata kama majority shareholder ni mtu mwingine, Diamond ana sehemu nzuri tu ya hisa. Hao mnaowataja inawezekana wana 51% na kuendelea lakini Diamond ni mmoja wa wamiliki wakuu na ndio maana ana nguvu kubwa ya kufanya maamuzi. Msijitoe akili kwa sababu tu ya chuki ambazo haziwezi kuwapa faida yoyote. Yani Tale na Salam waweze kumiliki redio (Dizzim FM) halafu Diamond asiwe na huo uwezo? Acheni kujifanya hamuelewi mambo.
 
Kitu ambacho mnajifanya hamkijui ni kuwa ile Wasafi hata kama majority shareholder ni mtu mwingine, Diamond ana sehemu nzuri tu ya hisa. Hao mnaowataja inawezekana wana 51% na kuendelea lakini Diamond ni mmoja wa wamiliki wakuu na ndio maana ana nguvu kubwa ya kufanya maamuzi. Msijitoe akili kwa sababu tu ya chuki ambazo haziwezi kuwapa faida yoyote. Yani Tale na Salam waweze kumiliki redio (Dizzim FM) halafu Diamond asiwe na huo uwezo? Acheni kujifanya hamuelewi mambo.
Ukweli n huu Mmiliki wa Wasafi n mke wa kusaga, huyo diamond ana hisa kias fulan palee, na pia n CEO, kuhusu maamuzi hana lazima asikilize kutoka kwa mmiliki wake, sina chuki na huyo mtu mie nimeeleza uhalisia.
 
Ukweli n huu Mmiliki wa Wasafi n mke wa kusaga, huyo diamond ana hisa kias fulan palee, na pia n CEO, kuhusu maamuzi hana lazima asikilize kutoka kwa mmiliki wake, sina chuki na huyo mtu mie nimeeleza uhalisia.
Maamuzi yanatokana na wanahisa wote. Kuna kupigia kura kwa jambo ambalo halifikiwi mwafaka kwa pamoja.
Mwenye hisa nyingi ananufaika kupata mgao mkubwa wa faida inayopatikana, pia hupata hasara kubwa ikitokea biashara kuyumba ndio maana anakuwa mtu wa kulinda sana biashara isipate hasara.
 
Ukweli n huu Mmiliki wa Wasafi n mke wa kusaga, huyo diamond ana hisa kias fulan palee, na pia n CEO, kuhusu maamuzi hana lazima asikilize kutoka kwa mmiliki wake, sina chuki na huyo mtu mie nimeeleza uhalisia.

Kwanza lazima ujue kuwa brand ya wasafi ni ya mondi.

Kama mondi hana maamuzi,kwa nini show zake hupigwa pale live?kwa nini mambo yake hurushwa pale live mfano happy birthday ya dada yake?

Ukisema wasafi unamaanisha mondi.kuhusu hisa ni maswala ya biashara. Tofauti na hapo ni chuki tu. Hata Kiba anajua ndio maana haendi pale.
 
Mm niliposikiliza nimegundua vitu hivi
1-wasanii wanaobaniwa hawana tatizo direct na kusaga Bali watu Wa chini ya kusaga
2-adam hampend diamond
3-anapenda watanzania waamini kuwa kile kituo mmiliki co chibu cjui akijua atafaidika nn
3-yupo emotional sana na vitu visivyo na maana.mfano issue ya dozen kuondoka

HIVYO BASI:sidhan kama kuna haja mtangazaji mwenye miaka kumi kwenye game lafu unakuwa na maswali ya kinafiki kama Yale ya adam.na soon kama kuna haja ya kumuongelea mtu ambae yy hakuongelei.....na issue ya wasfi media its all about business sion kama kuna tatizo diamond kuwa na share na hao akina kusaga

tafuta interview fulani ya Dj fetty ya hivi karibuni utajua akili ya mchomvu. in short alijamba ofisini huku akijua madirisha yamefungwa na hewa ni ndogo alafu akamsingizia mwanamke ndio kajamba (Dj fetty)
 
Mkurugenzi wa CMG Joseph Kusaga amesema yeye siyo mmiliki wala mwanzilishi wa Wasafi media.

Amezungumza hayo leo akihojiwa na XXL. Kauli hiyo imekuja kutokana na pongezi ya Adam Mchomvu nanukuu

"Kwanza boss hongera kwa kuanzisha media nyingine ya Wasafi"

Joseph Kusaga " Wasafi media siyo mimi niliyeanzisha ni Diamond Platnumz na shareholders wengine, mimi nawashauri tu wakihitaji".

Swali lingine vipi haufikirii kuwa kiongozi wa kisiasa?

Joe "Mimi siyo mwanasiasa, you can't be master of everything..."

Pia amesema hajawahi kuwa na tatizo na Lady Jaydee ashauri nao XXL wasiwe na tatizo na wengine. Wakati akitoa ushauri huo ilisikika sauti ya Adam ikisema "it's order! It's order!".

Awataka vijana kuacha chuki atoa pole kwa Babu Tale.
Hata kwenye mahojiano ya Salam Sk alisema mmiliki siyo kusaga share holder ni mke wake kusaga hivyo ni jambola kushangaza watu kung'ang'ania hili
 
Ukweli n huu Mmiliki wa Wasafi n mke wa kusaga, huyo diamond ana hisa kias fulan palee, na pia n CEO, kuhusu maamuzi hana lazima asikilize kutoka kwa mmiliki wake, sina chuki na huyo mtu mie nimeeleza uhalisia.
Diamond ana hisa ngapi na mke wa Kusaga anazo ngapi hebu nikumbushe
 
Maamuzi yanatokana na wanahisa wote. Kuna kupigia kura kwa jambo ambalo halifikiwi mwafaka kwa pamoja.
Mwenye hisa nyingi ananufaika kupata mgao mkubwa wa faida inayopatikana, pia hupata hasara kubwa ikitokea biashara kuyumba ndio maana anakuwa mtu wa kulinda sana biashara isipate hasara.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ahsante kwa elimu anko , wanazengo wana maneno mengi sana
 
tafuta interview fulani ya Dj fetty ya hivi karibuni utajua akili ya mchomvu. in short alijamba ofisini huku akijua madirisha yamefungwa na hewa ni ndogo alafu akamsingizia mwanamke ndio kajamba (Dj fetty)
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Ukweli n huu Mmiliki wa Wasafi n mke wa kusaga, huyo diamond ana hisa kias fulan palee, na pia n CEO, kuhusu maamuzi hana lazima asikilize kutoka kwa mmiliki wake, sina chuki na huyo mtu mie nimeeleza uhalisia.
Kuna wana mna hali ngumu hadi mnasikitisha.
 
Back
Top Bottom