johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti Mpya wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi amewashukuru Wananchi Wote wa Kanda ya Nyasa na kusema " I never thought Hip hop would take me this far"
Salam za Shukrani amezitoa kupitia Ukurasani X
Pia soma Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
NB: Wasanii Chawa wa CCM jifunzeni kwa Sugu Moto Chini 😄🔥
Salam za Shukrani amezitoa kupitia Ukurasani X
Pia soma Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
NB: Wasanii Chawa wa CCM jifunzeni kwa Sugu Moto Chini 😄🔥