Is there a better way? Kama chama kinajua mtu ni msaliti au mroho sana wa pesa basi ni jukumu lao (KK) kumuengua kwa kukosa vigezo vya uongozi. Cecil Mwambe hakuchaguliwa, nifahamuvyo.
Mgombea akishapitishwa kugombea, basi ni kura za wapiga kura tu ndizo huamua. Democracy must have its way.
Kama una tatizo na KK ya CHADEMA kumpitisha Sugu kugombea hilo linajadilika - kwa hoja.