Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mbona watu kiduchu hivi, yaani haka kachama hakana wafuasi kabisaBwana Sugu ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , leo Amerejesha fomu ya kuomba uenyekiti wa Kanda ya Nyasa.
Bilionea huyo amesindikizwa na Umati wa Matajiri wa Kanda hiyo kutoka Kyela, Mbeya yenyewe, Njombe na Iringa.
Hali ilikuwa hivi .
Mimi ni Taasisi KubwaUnajitahid sana kuwapigia Kampain ila utakuja shangaa watakavyopeana vyeo wao kwa wao huko Bungeni na kukuacha tena humu ndani unapayuka...na utajikuta ushaanza kuwa mpinzani wa Chadema.
Huu siyo mkutano wa hadharaHahaha mbona watu kiduchu hivi, yaani haka kachama hakana wafuasi kabisa
Hahaha visingizio, wasubiri sisi CCM tulivyo na nyomo hata kama siyo mkutano wa hadhara.Huu siyo mkutano wa hadhara
Nyie si mnatoa fomu 1 tu au itakuwaje ?Hahaha visingizio, wasubiri sisi CCM tulivyo na nyomo hata kama siyo mkutano wa hadhara.
Sisi mgombea wetu anajulikana kuliko nyie mna lia ayatolla mboweNyie si mnatoa fomu 1 tu au itakuwaje ?
Wewe uanashinda mitandaoni kusifia wanaume wenzaka hata kama wanakufaidi unajua nini zaidi ya wanaume wanaojielewa?Hujui kitu , Shut up !
Kwa hiyo kama ni tajiri unataka sisi tufanyeje? nyie misukule ya mzee mbowe mna matatizo aiseeAcha dharau we maskini, Sugu anaweza asiwe Bilionea lakini akawa tajiri vile vile.
Chama kinarudi hatua 1000 nyuma!Bwana Sugu ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , leo Amerejesha fomu ya kuomba uenyekiti wa Kanda ya Nyasa.
Bilionea huyo amesindikizwa na Umati wa Matajiri wa Kanda hiyo kutoka Kyela, Mbeya yenyewe, Njombe na Iringa.
Hali ilikuwa hivi .
Usilie , Mambo badoWewe uanashinda mitandaoni kusifia wanaume wenzaka hata kama wanakufaidi unajua nini zaidi ya wanaume wanaojielewa?
Ubunge ndio umemtoa Sugu, bila ya ubunge angekuwa lofa tu, pamoja na kubeba box huko Marekani alirudi lofa tu si ajabu amefanya siasa ajira.Eti bilionea kwa kumiliki hotel ya vyumba nane ,jamani embu jaribuni kuacha utani,hivi unafikiri makelele yote ya kutaka kurudi bungeni ni kwa ajili ya nini?kwa kifupi ni kwa ajili ya ajira
Sugu bana,awe tu mwenyekiti aiboreshe hotel yake kwa pesa na michango ya join the chain,Lema yeye hana mpinzani atazila sana na kaka yake Sultan mbowe,lissu amekataa rushwa za chadema ndio maana yu mbioni kutimkia ACT wazalendo.Bwana Sugu ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , leo Amerejesha fomu ya kuomba uenyekiti wa Kanda ya Nyasa.
Bilionea huyo amesindikizwa na Umati wa Matajiri wa Kanda hiyo kutoka Kyela, Mbeya yenyewe, Njombe na Iringa.
Hali ilikuwa hivi .
Sugu alikuwa anaokota makopo na kudeki barabara marekani aka akaiona fursa ya ruzuku chadema akageuka fasta,kweli kafanikiwa,mimi mwenyewe napiga boksi hapa Birmingham lakini nazimeki kimtindo,tatizo la sugu usela mwingi.Ubunge ndio umemtoa Sugu, bila ya ubunge angekuwa lofa tu, pamoja na kubeba box huko Marekani alirudi lofa tu si ajabu amefanya siasa ajira.
Twambie nani alimpiga LISSU lisasi na nani alimsukuma Mbowe kwenye Ngazi akavunja Mguu?Mimi ni Taasisi Kubwa