LGE2024 Joseph Mbilinyi atikisa Mbeya, Leo ilikuwa zamu ya Uyole Wananchi Waupania Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Joseph Mbilinyi atikisa Mbeya, Leo ilikuwa zamu ya Uyole Wananchi Waupania Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwanasiasa Tajiri kuliko wote Mkoani Mbeya, Mwekezaji wa Kimataifa, Ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Bilionea Joseph Mbilinyi, Leo amefundisha habari za Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa Mjini Uyole.

Mkutano huo wa Hadhara ulioandaliwa kwa muda wa saa 1 tu ulijaa watu ambao wamemhakikishia bwana Sugu kwamba Hana haja ya kusumbuka kutafuta kura za wenyeviti maana tayari ameeleweka, Huku Wanyakyusa wa Eneo hilo wakisema kwa lugha yao kwamba"UMALILE IMBOMBO" kwa tafsiri ya kiswahili ni kwamba "Umemaliza kazi"

Hii hapa ndio hali halisi

Screenshot_2024-10-05-18-49-12-1.png
Screenshot_2024-10-05-18-49-22-1.png
Screenshot_2024-10-05-18-49-38-1.png
Screenshot_2024-10-05-18-49-47-1.png
 
Mbona sioni watu hapo? Kweli CHADEMA mna hali mbaya na ngumu sana kuwashawishi watanzania mpaka wawaelewe na kuwaunga mkono.
 
Mkutano uliandaliwa Kwa saa Moja tuu... Wakazi wa hapo ni wanyakyusa...

Aibu nimejisikia mimi wakyela mwenzio tunaonekana wote tupo kama wewe
 
Mwanasiasa Tajiri kuliko wote Mkoani Mbeya, Mwekezaji wa Kimataifa, Ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Bilionea Joseph Mbilinyi, Leo amefundisha habari za Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa Mjini Uyole.

Mkutano huo wa Hadhara ulioandaliwa kwa muda wa saa 1 tu ulijaa watu ambao wamemhakikishia bwana Sugu kwamba Hana haja ya kusumbuka kutafuta kura za wenyeviti maana tayari ameeleweka, Huku Wanyakyusa wa Eneo hilo wakisema kwa lugha yao kwamba"UMALILE IMBOMBO" kwa tafsiri ya kiswahili ni kwamba "Umemaliza kazi"

Hii hapa ndio hali halisi

View attachment 3116199View attachment 3116201View attachment 3116202View attachment 3116203
Mkuu ukipunguza chumvi wakati unatoa sifa za mtu na kujikita kwenye ujumbe alioutoa mhusika itakuwa jambo la maana. Uchawa waachie wenye tuzo zao Mkuu!!!
 
Acha kunidhalilisha wewe. Utaanzaje kunifananisha na mtu Mzushi na muongo kama Erythrocytes?
Huyo mdau anakuacha mbali sana . Atleast anaweza kuhoji baadhi ya mambo mtambuka yanayoendelea nchini e.G utekaji. Ila wewe na hiyo ccm yako mnajiona kama malaika wa nuru waketio pamoja na mungu kiti cha enzi. Mnajiona mna hati miliki ya hii jamhuri. Hebu fanya kujielimisha kuhusu TSAR wa russia na utawala wa romanov dynasty uliotawala karibia miaka 300 nini kilimkuta. Reference : tafuta kitabu cha ben walsh cha world modern history 2nd edition.
 
Mwanasiasa Tajiri kuliko wote Mkoani Mbeya, Mwekezaji wa Kimataifa, Ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Bilionea Joseph Mbilinyi, Leo amefundisha habari za Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa Mjini Uyole.
Malizia aliyembinua makalio juu Mwenyekiti wa zamani kanda chamani
 
Mwanasiasa Tajiri kuliko wote Mkoani Mbeya, Mwekezaji wa Kimataifa, Ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Bilionea Joseph Mbilinyi, Leo amefundisha habari za Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa Mjini Uyole.

Mkutano huo wa Hadhara ulioandaliwa kwa muda wa saa 1 tu ulijaa watu ambao wamemhakikishia bwana Sugu kwamba Hana haja ya kusumbuka kutafuta kura za wenyeviti maana tayari ameeleweka, Huku Wanyakyusa wa Eneo hilo wakisema kwa lugha yao kwamba"UMALILE IMBOMBO" kwa tafsiri ya kiswahili ni kwamba "Umemaliza kazi"
Kama ni kweli Sugu amemaliza kazi, that is very good, ila watu wa Mbeya, usiwaamini sana, maana wako kama yale maharage ya Mbeya,maji ni mara moja tuu kwisha kazi!"Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020!
p
 
Back
Top Bottom