LGE2024 Joseph Mbilinyi atikisa Mbeya, Leo ilikuwa zamu ya Uyole Wananchi Waupania Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Joseph Mbilinyi atikisa Mbeya, Leo ilikuwa zamu ya Uyole Wananchi Waupania Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kama ni kweli Sugu amemaliza kazi, that is very good, ila watu wa Mbeya, usiwaamini sana, maana wako kama yale maharage ya Mbeya,maji ni mara moja tuu kwisha kazi!
p
Paskali mtoto wa magorofani drive in...ulichosema hapa naomba siku ukiwa mbeya ukisema hadharani mkutanoni 😄

Ova
 
Paskali mtoto wa magorofani drive in...ulichosema hapa naomba siku ukiwa mbeya ukisema hadharani mkutanoni 😄

Ova
mimi ni mkweli kama yule brother wangu, akiwa Bukoba akawaeleza Wahaya kuhusu Katerero, hivyo nitakuja Mbeya kusaidia kampeni za ticha wangu na nitazungumzia maharage ya Mbeya, nitafikia Desderia Sugu ni mshikaji wangu sana, ila namkubali sana ticha wangu Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria?
View: https://youtu.be/ZM_D9HAPi5M

P
 
Hakukuwa na mafundisho yeyote zaidi ya matusi na kejeli.
 
Mwanasiasa Tajiri kuliko wote Mkoani Mbeya, Mwekezaji wa Kimataifa, Ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Bilionea Joseph Mbilinyi, Leo amefundisha habari za Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa Mjini Uyole.

Mkutano huo wa Hadhara ulioandaliwa kwa muda wa saa 1 tu ulijaa watu ambao wamemhakikishia bwana Sugu kwamba Hana haja ya kusumbuka kutafuta kura za wenyeviti maana tayari ameeleweka, Huku Wanyakyusa wa Eneo hilo wakisema kwa lugha yao kwamba"UMALILE IMBOMBO" kwa tafsiri ya kiswahili ni kwamba "Umemaliza kazi"

Hii hapa ndio hali halisi

View attachment 3116199View attachment 3116201View attachment 3116202View attachment 3116203
Bora mwakani tutampa ubunge wa Mbeya Mjini, maana aliyepo hakuna kitu anafanya
 
Back
Top Bottom