Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
atajaribu kutumia manguvu, ila Mungu atamuumbua.
JESUS
JESUS
IS LORDTulia hana chake hapo Mbeya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IS LORDTulia hana chake hapo Mbeya.
Kwa kukashifu watu wa Mbeya hakutakusaidia chochote, Gari lishawaka.Kama ni kweli Sugu amemaliza kazi, that is very good, ila watu wa Mbeya, usiwaamini sana, maana wako kama yale maharage ya Mbeya,maji ni mara moja tuu kwisha kazi!
Msiite polisi tu 😄Mbona sioni watu hapo? Kweli CHADEMA mna hali mbaya na ngumu sana kuwashawishi watanzania mpaka wawaelewe na kuwaunga mkono.
Paskali mtoto wa magorofani drive in...ulichosema hapa naomba siku ukiwa mbeya ukisema hadharani mkutanoni 😄Kama ni kweli Sugu amemaliza kazi, that is very good, ila watu wa Mbeya, usiwaamini sana, maana wako kama yale maharage ya Mbeya,maji ni mara moja tuu kwisha kazi!
p
hapa "Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020! nimekashifu vipi?, kwani ni uongo kuwa maharage ya Mbeya maji ni mara moja tuu yanawiva?,Kwa kukashifu watu wa Mbeya hakutakusaidia chochote, Gari lishawaka.
Nothing lasts longer.
mimi ni mkweli kama yule brother wangu, akiwa Bukoba akawaeleza Wahaya kuhusu Katerero, hivyo nitakuja Mbeya kusaidia kampeni za ticha wangu na nitazungumzia maharage ya Mbeya, nitafikia Desderia Sugu ni mshikaji wangu sana, ila namkubali sana ticha wangu Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria?Paskali mtoto wa magorofani drive in...ulichosema hapa naomba siku ukiwa mbeya ukisema hadharani mkutanoni 😄
Ova
Sio rahisi hivyo,Tulia naye kafanya mambo mengi sana.Tulia hana chake hapo Mbeya.
Bora mwakani tutampa ubunge wa Mbeya Mjini, maana aliyepo hakuna kitu anafanyaMwanasiasa Tajiri kuliko wote Mkoani Mbeya, Mwekezaji wa Kimataifa, Ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Bilionea Joseph Mbilinyi, Leo amefundisha habari za Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa Mjini Uyole.
Mkutano huo wa Hadhara ulioandaliwa kwa muda wa saa 1 tu ulijaa watu ambao wamemhakikishia bwana Sugu kwamba Hana haja ya kusumbuka kutafuta kura za wenyeviti maana tayari ameeleweka, Huku Wanyakyusa wa Eneo hilo wakisema kwa lugha yao kwamba"UMALILE IMBOMBO" kwa tafsiri ya kiswahili ni kwamba "Umemaliza kazi"
Hii hapa ndio hali halisi
View attachment 3116199View attachment 3116201View attachment 3116202View attachment 3116203
Nadhani afadhali ya CHADEMA ambao hawabebi watu na magali kuliko ccm wanasomba na makarandinga ya jeshi na policeccmMbona sioni watu hapo? Kweli CHADEMA mna hali mbaya na ngumu sana kuwashawishi watanzania mpaka wawaelewe na kuwaunga mkono.
Bila Wizi wa Kura Tulia anagalagazwa Asubuhi tu.Sio rahisi hivyo,Tulia naye kafanya mambo mengi sana.
Pona pona ya Sugu ni kuanzishwa kwa jimbo jipya la uchaguzi,bila hilo asahau,tusimpe moyo bila sababu.Bila Wizi wa Kura Tulia anagalagazwa Asubuhi tu.
Tusiandikie mate.Pona pona ya Sugu ni kuanzishwa kwa jimbo jipya la uchaguzi,bila hilo asahau,tusimpe moyo bila sababu.
Kwani 2020 kulikua na uchaguzi?Kama ni kweli Sugu amemaliza kazi, that is very good, ila watu wa Mbeya, usiwaamini sana, maana wako kama yale maharage ya Mbeya,maji ni mara moja tuu kwisha kazi!"Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020!
p
Watamteka nani watamwacha nani? Chadema haiwezi kutekwa, HakikaNa hapo akuna WCB. Ni hatari
All the best
Akijibu nistueKwani 2020 kulikua na uchaguzi?