Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Amemtahadharisha kwamba kwenye suala la Urais na Ubunge wa Mbeya Mjini wana Mbeya Mjini walishalifunga tangu mwaka 2010.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brother,uchaguzi 2020 tafuta kazi nyingine yakufanya,ndio Jimbo la mbeya mjini ninaondoka hivyo.Amemtahadharisha kwamba kwenye suala la Urais na Ubunge wa Mbeya Mjini wana Mbeya Mjini walishalifunga tangu mwaka 2010
View attachment 1369517
Mkwara mbuzi huo kesho kutwa utasikia Sugu amejiunga CCM kwa kudai Chadema ni saccos!Amemtahadharisha kwamba kwenye suala la Urais na Ubunge wa Mbeya Mjini wana Mbeya Mjini walishalifunga tangu mwaka 2010
View attachment 1369517
Huna ujuachoBrother,uchaguzi 2020 tafuta kazi nyingine yakufanya,ndio Jimbo la mbeya mjini ninaondoka hivyo.
Jimbo la tulia Hilo sugu Hana chake subiri baada ya uchaguzi uje ku like hii commentAmemtahadharisha kwamba kwenye suala la Urais na Ubunge wa Mbeya Mjini wana Mbeya Mjini walishalifunga tangu mwaka 2010
View attachment 1369517
Jimbo la tulia Hilo sugu Hana chake subiri baada ya uchaguzi uje ku like hii comment
Sent using Jamii Forums mobile app
DA JAMAA KISHAANZA KUOGOPA MPAKA KIVULI CHAKE BI DADA KAMKALIA VIBAYA SANA MBELE ANAONA GIZA TUPU ETI ANAKAZI YA KUFANYA?: DU POLE YAKEAmemtahadharisha kwamba kwenye suala la Urais na Ubunge wa Mbeya Mjini wana Mbeya Mjini walishalifunga tangu mwaka 2010
View attachment 1369517
hapa tarayi umeshapanic.Sugu malizia mkopo wa benki..mbeya inataka maendeleo sio casino..hopeless kabisa.
Viva CCM
Wewe si mkazi wa Mbeya , endelea na mambo ya ChamwinoJimbo la tulia Hilo sugu Hana chake subiri baada ya uchaguzi uje ku like hii comment
Sent using Jamii Forums mobile app
MUNGU "IBARIKI" CHADEMAAmemtahadharisha kwamba kwenye suala la Urais na Ubunge wa Mbeya Mjini wana Mbeya Mjini walishalifunga tangu mwaka 2010
View attachment 1369517
Anakopesheka ,wewe je?Sugu malizia mkopo wa benki..mbeya inataka maendeleo sio casino..hopeless kabisa.
Viva CCM
Kikubwa uzima na afya!Amemtahadharisha kwamba kwenye suala la Urais na Ubunge wa Mbeya Mjini wana Mbeya Mjini walishalifunga tangu mwaka 2010.
View attachment 1369517