Sidhani maana mwanamke kuongoza Mbeya (chumvi) ni habari kubwa SanaJimbo la tulia Hilo sugu Hana chake subiri baada ya uchaguzi uje ku like hii comment
Sent using Jamii Forums mobile app
Itawezekana tuSidhani maana mwanamke kuongoza Mbeya (chumvi) ni habari kubwa Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Amemtahadharisha kwamba kwenye suala la Urais na Ubunge wa Mbeya Mjini wana Mbeya Mjini walishalifunga tangu mwaka 2010.
View attachment 1369517
Utajua nijuacho uchaguzi wa October baada ya upinzani kukosekana bungeni bunge lijaloHuna ujuacho
Brother,uchaguzi 2020 tafuta kazi nyingine yakufanya,ndio Jimbo la mbeya mjini ninaondoka hivyo.
Bora muangaike na jumbo la Mtera,toka Uhuru lipo chini na a CCM lakini cha ajabu watu wanafukua Maji ardhini na wanakunywa pamoja na fisiSugu malizia mkopo wa benki..mbeya inataka maendeleo sio casino..hopeless kabisa.
Viva CCM
Kutakuwa hakuna upinzani wakati ambapo nchi haina umeme wala maji ya uhakika, idiotic land!Utajua nijuacho uchaguzi wa October baada ya upinzani kukosekana bungeni bunge lijalo
Sugu malizia mkopo wa benki..mbeya inataka maendeleo sio casino..hopeless kabisa.
Viva CCM
Subiri uje upate aibu ya mwaka.Huna ujuacho
wanachemsha funza wanakulaBora muangaike na jumbo la Mtera,toka Uhuru lipo chini na a CCM lakini cha ajabu watu wanafukua Maji ardhini na wanakunywa pamoja na fisi
Sent using Jamii Forums mobile app