Pre GE2025 Joseph Mbilinyi Sugu akabidhi Madera 100 kwa BAWACHA

Pre GE2025 Joseph Mbilinyi Sugu akabidhi Madera 100 kwa BAWACHA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi-Sugu Moto Chini amekabidhi Madera 100 kwa Jumuiya ya Wanawake BAWACHA pamoja na Vitabu 50.

Sugu ametoa taarifa ya makabidhiano Ukurasani X

Baadae mlale Unono 😄😄

Erythrocyte wahi zawadi 😂
---

Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa jana alikabidhi madera ya chama 100 pamoja na vitabu 50 vya sera ya wanawake ya Chadema, kwa Mwenyekiti mpya wa Bawacha wa kanda hiyo Mama Tabia Mwakikuti.

Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa pia jana alikabidhi vitabu 50 vya Sera ya vijana ya Chadema, kwa Mwenyekiti wa Bavicha wa Kanda hiyo, Vitus Nkuna
Baada ya kuhakikishiwa ushindi nae ametoa fungu lao kumbe nao ni madera fc nyumbani kwao na christiano ronaldo!
 
Huu upuuzi huu.
Yaani mambo ya ccm kuongana Madera na kofia chadema wanafanya yale yale.
Narudia kusema chadema ya Mbowe ni pacha wa CCM.
Wapo hapo kwa kazi maalumu ya kuibakiza Ccm madarakani
 
Sasa what is madela 100 mpaka iwe public news?? Wastan wa dela 1 ni shi 5000
X 100
Hiyo ni 500,000/=.
Aaaah Sugu, kuwa serious basi bwana
 
Back
Top Bottom