Pre GE2025 Joseph Mbilinyi Sugu akabidhi Madera 100 kwa BAWACHA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Baada ya kuhakikishiwa ushindi nae ametoa fungu lao kumbe nao ni madera fc nyumbani kwao na christiano ronaldo!
 
Huu upuuzi huu.
Yaani mambo ya ccm kuongana Madera na kofia chadema wanafanya yale yale.
Narudia kusema chadema ya Mbowe ni pacha wa CCM.
Wapo hapo kwa kazi maalumu ya kuibakiza Ccm madarakani
 
Sasa what is madela 100 mpaka iwe public news?? Wastan wa dela 1 ni shi 5000
X 100
Hiyo ni 500,000/=.
Aaaah Sugu, kuwa serious basi bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…